Mwanamziki kutoka label ya WCB Rayvanny Boy a.k.a Sauti ya Vanilla na director Kenny kutoka Zoom Production chini ya WCB, wameshinda tuzo ya AFRIMMA AWARD.
Rayvanny amechukua Video Bora of the Year Africa kupitia wimbo wa Tetema ft Diamond na Director Kenny amechukua Director Bora of the Year Africa kwa kuwabwaga mangwiji wengi wa kutengeneza video kali kupitia wimbo wa Tetema.
Rayvanny amechukua Video Bora of the Year Africa kupitia wimbo wa Tetema ft Diamond na Director Kenny amechukua Director Bora of the Year Africa kwa kuwabwaga mangwiji wengi wa kutengeneza video kali kupitia wimbo wa Tetema.