kwa tunaofuatilia bongo movies mnaweza thibitisha hapa...kwamba ray hutoa movies kila mara baada ya kanumba(rip)....!na siku xote hutoa movies kwa concept ile ile ya the great...!
ray si mbunifu.....!na hatakaa awe kwenye caliber ya the great(rip)
Anatakiwa afanye hesabu hizi,ni watu wangapi wamefariki baada ya 1999 alipokufa baba wa taifa,i mean watu hao wote walihudhuria kumuaga baba wa taifa,pamoja na wale waliohudhuria kwenye maziko ya kanumba wengi wao kama si wote walikuwepo kwenye msiba wa baba wa taifa,alafu akumbuke pia na huyo marehemu mwenyewe Kanumba alikuwepo kwenye msiba wa baba wa taifa,hapo ndio atagundui lipi tui na yapi maziwa!!!
Naomba kuuliza, hivi hapa DAR kuna vyuo vinavyofundisha namna ya kuongea kwenye hadhira(Public Speaking)?
Kama vipo, ni vyema tumshauri mwenzetu akajiunge navyo ili asije akarudia haya makosa..............Maana kuna siku ataalikwa kwenye chakula cha hisani halafu afedheheke bure.
Nimemsikia Ray kwenye DW akidai eti umati wa watu uliohudhuria kuuaga mwili wa Kanumba ni mkubwa sana kuliko ule wa hayati mwl. Nyerere! Halafu eti kwenye tasnia ya filamu amebaki peke yake!
Ray acha kujiinua na wala hauko peke yako kama unavyodai. Halafu, hivi unajua Nyerere aliagwa kwa siku ngapi pale uwanja wa taifa, tena usiku na mchana? Unataka kusema umaarufu wa kanumba ni mkubwa sana kuliko ulivyokuwa / ulivyo ule wa Nyerere?
cndo apo!mpuuz kwel uyu wamkamate nae kwanza kwanini afike eneo la tukio wa kwanza..af jisura lake limekaa kizandikzandik na kiuongo uongo
Nimemsikia Ray kwenye DW akidai eti umati wa watu uliohudhuria kuuaga mwili wa Kanumba ni mkubwa sana kuliko ule wa hayati mwl. Nyerere! Halafu eti kwenye tasnia ya filamu amebaki peke yake!
Ray acha kujiinua na wala hauko peke yako kama unavyodai. Halafu, hivi unajua Nyerere aliagwa kwa siku ngapi pale uwanja wa taifa, tena usiku na mchana? Unataka kusema umaarufu wa kanumba ni mkubwa sana kuliko ulivyokuwa / ulivyo ule wa Nyerere?
Kilaza yule.............
Kwanza uwezo wa sanaa alio nao mashaka matupu!