Ray c: Sijapata ukimwi, sijaokoka

Ray c: Sijapata ukimwi, sijaokoka

Anahangaika na Dunia tu,ni Kahaba tu yule,kapigisha Japani,karudi bongo kapigisha,hana geni.
 
Ubatizo wa maji mengi kabla ya kuokoka?
Mark 16:16a "whoever believes and is baptized will be saved"
Acts 10:47 "can anyone WITHHOLD water for baptizing these people, who have received the Holy Spirit just as we have?
Moja kati ya yafuatayo yaweza husika:
-kanisa halikuelewa anachokiongea/alidanganya/badilisha
-kanisa hilo sio kama mengine yenye imani hiyo

tragedy of the commons

Ni yote mawili yalitokea hapo;
Kanisa hilo halikuelewa anacho kitaka. Alitaka uponyaji tu. Watu walitaka kumkamata Yesu ili wamsimike awe mfalme wao kwa sababu tu walikula mikate ya bure wakashiba. Ray C alisikia mambo ya uponyaji wa Yesu akaona, apone tu ile michubuko aliyoipata kufanya mambo kinyume na maumbile. Akajua kama ukimwi ulimwonea huruma basi huruma hiyo ilitokea kanisani kwa mama yake.
Pili, kanisa hilo halina imani ya kuokoka bali linatafuta umati. Likajua kama Ray C atakuja huko kwao mastaa wengi wanaojiliwaza kwa arosto watamfuata na sadaka itaongezeka sawia.
Poleni sana sloam, Ray c kasema, Hajaokoka ati. Msimpakazie ati kwenyu kuna wokovu atii. Anafurahia sana ngonjera zenu zisizo weza kumfikisha kwenye wokovu.
Ningekuwa mchungaji wa kanisa hilo, ningempiga marufuku kuuona huo mlango wa kanisa mpaka aokoke si kudanganya watu.
 
Simple definition:

Kuokoka ni kuacha dhambi, kuacha kumtumikia shetani na kufuata amri za Mungu.
Nimekupenda bure,japo watu wanatafsiri kuokoka ni kuhama kutoka dhehebu moja kuhamia lingine...na wananikera sana hawa watu
 
Maandiko yanasema aaminie na kubatizwa ataokoka, sasa yy alibatizwaje kama hakuamini? Na anaogopa nn kusema ameokoka? Yaani anashindwa kumkiri yy alieamini hadi akabatizwa? Aangalie na yeye asijeakakanwa huko mbele. Aache kuogopa amwaibishe shetani akiri tu AMEOKOKA.
 
Mmmh! Hivi yule babu wa BOT alimuacha huyu binti kweli?!

Labda liyumba alikuwa anatumia buti, lakini kama angekuwa anapiga kavu-kavu lazima mdada angeshaongwa gari/jeneza lekundu...
 
sasa utaokoka lini?haya maisha yana mwisho dada,saa ya wokovu ni sasa
 
tabu chanzo cha hbr kuwa ni gazeti la udaku...

pia huyu mdada mbona wana mpa promo wkt tayari kesha chuja... kitambo.
 
Mtu mwenyewe kajichokea kwisha habari yake promo zote hizo za nn? Aokoke asiokoke kazi kwake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom