wafalme
Senior Member
- Jan 15, 2014
- 113
- 19
Sidhani kama mwanamume yoyote atakaye kubali masharti yako, labda wale waliyo zoea kuwekwa na sugar mamy.
ukiwa kweli wataka mume ondowa masharti hayo
Sidhani kama mwanamume yoyote atakaye kubali masharti yako, labda wale waliyo zoea kuwekwa na sugar mamy.
Nani amtake teja huyo
Insta wanaogopa blockMmmhhh nyie watu mbona mnamaneno makali hvyooo????? Life is too short to take everything seriously, bora hta mashabik wa insta wanajua maana ya humor pyeeee!!!!
Insta wanaogopa block
Huku unavyokuja ndo unavyorudishwa
Yaani mie nilishablokiwa na mastaa kibao. Ukiandika negative tuu jua block inakuhusu
Na mimi Star ngoja nikakublock kule
hayo masharti yote yanatoa uanaume halisi labda anataka bwabwa