RAV4 L 1800cc 5Door Inahitajika haraka sana

RAV4 L 1800cc 5Door Inahitajika haraka sana

Anko Sam

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2010
Posts
3,254
Reaction score
908
Isiwe na historia ya ajali, Odometer chini ya 120000 na isiwe ilikwisha funguliwa engine.
 
Hivi wadau Rav4 old model kuiagiza frm Japan mpaka inatembea barabarani inagharimu kiasi gani cha fedha za madafu?Na hasa lwa zilizotengenezwa 2005,2006 na kuendelea
Cc Kibanga Ampiga Mkoloni mshana jr na wengineo
 
Last edited by a moderator:
Hivi wadau Rav4 old model kuiagiza frm Japan mpaka inatembea barabarani inagharimu kiasi gani cha fedha za madafu?Na hasa lwa zilizotengenezwa 2005,2006 na kuendelea
Cc Kibanga Ampiga Mkoloni mshana jr na wengineo
Mkoroshokigoli kuna ile calculator ya TRA inakokotoa vizuri sana hebu njoo kwenye ule uzi wa magari kuna wataalam kule
 
Last edited by a moderator:
Hivi wadau Rav4 old model kuiagiza frm Japan mpaka inatembea barabarani inagharimu kiasi gani cha fedha za madafu?Na hasa lwa zilizotengenezwa 2005,2006 na kuendelea
Cc Kibanga Ampiga Mkoloni mshana jr na wengineo

Rav ya 2006 sio old model kivile kwa sababu kuna version kama mbili nyuma yake mana kuna old model, kili time, then ndio hizo za 2006 hadi 2010 then new model kabisa ni 2014

Kwa hiyo makadirio hadi unaitia mkononi ni kati ya milioni 25-30
 
Last edited by a moderator:
JF kiboko, kuna kila aina ya wajasiliamali humu. Mtu anasoma post, anatuma picha ya gari unayotaka. Ukimfata alipo ukakague mzigo, anakuonyesha Vitz anajitetea, ile Kilityme imekwenda sasa hivi, chukua hii vitz nayo ni nzuri tu! Unatamani umpige konzi ya pua ila tunaogopa kupiga pesa zetu wenyewe.

Mjadala naufunga kwani people espicially bongonian, are not yet civilazed though are living in big City.
 
JF kiboko, kuna kila aina ya wajasiliamali humu. Mtu anasoma post, anatuma picha ya gari unayotaka. Ukimfata alipo ukakague mzigo, anakuonyesha Vitz anajitetea, ile Kilityme imekwenda sasa hivi, chukua hii vitz nayo ni nzuri tu! Unatamani umpige konzi ya pua ila tunaogopa kupiga pesa zetu wenyewe.

Mjadala naufunga kwani people espicially bongonian, are not yet civilazed though are living in big City.

Do it through me and no regretion
 
JF kiboko, kuna kila aina ya wajasiliamali humu. Mtu anasoma post, anatuma picha ya gari unayotaka. Ukimfata alipo ukakague mzigo, anakuonyesha Vitz anajitetea, ile Kilityme imekwenda sasa hivi, chukua hii vitz nayo ni nzuri tu! Unatamani umpige konzi ya pua ila tunaogopa kupiga pesa zetu wenyewe.

Mjadala naufunga kwani people espicially bongonian, are not yet civilazed though are living in big City.

Ipo Manual ZNZ haijatembelea, hadi kufika bongo mil 12, full AC, 5 doors kili time. Silver picha zipo.
 
Rav ya 2006 sio old model kivile kwa sababu kuna version kama mbili nyuma yake mana kuna old model, kili time, then ndio hizo za 2006 hadi 2010 then new model kabisa ni 2014

Kwa hiyo makadirio hadi unaitia mkononi ni kati ya milioni 25-30
haswaa, ndo naulizia hizo,ambazo zinaonesha zimetengenezwa 1990s je zinafaa?hasa kwa route za porini kwenye rough roads?
 
Aisee ninavyojua magari kama unataka Rav4 J or L kwa mtu old model tafuta 8-9m
 
Aisee ninavyojua magari kama unataka Rav4 J or L kwa mtu old model tafuta 8-9m

Yeah unapata kwa hiyo mfano hii hapa
Inatakiwa 9.5mln
 

Attachments

  • 20150426_042048.jpg
    20150426_042048.jpg
    1.2 MB · Views: 167
Ipo Manual ZNZ haijatembelea, hadi kufika bongo mil 12, full AC, 5 doors kili time. Silver picha zipo.

Siyo D4 Engine? Kumbuka specs za cc1790(1800) engine yake ni 11Z, kama uzi ulivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom