Rav4, 5 doors inauzwa 6M

Rav4, 5 doors inauzwa 6M

bizplan

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2013
Posts
592
Reaction score
574
Wadau, nauza Rav 4 milango mitano, ya mwaka 1998 cc 1998 ipo katika hali nzuri sana. Sababu ya kuiuza imekosa mtumiaji hivyo tumeona si vizuri ikae bila kutumika. Bei 6M.
 

Attachments

  • IMG-20141109-WA0003.jpg
    IMG-20141109-WA0003.jpg
    84.1 KB · Views: 655
  • IMG-20141109-WA0000.jpg
    IMG-20141109-WA0000.jpg
    89.1 KB · Views: 610
  • IMG-20141109-WA0002.jpg
    IMG-20141109-WA0002.jpg
    104 KB · Views: 600
  • IMG-20141109-WA0001.jpg
    IMG-20141109-WA0001.jpg
    101.8 KB · Views: 588
Umekwepa kuonesha namba kwa vile ni la wizi au.........?
 
bizplan mbona unaambiwa uweke namba unachomoa kaka niaje aje?
ni namba ngapi sema basi? ukimya wako unaleta mashaka!!
 
Last edited by a moderator:
bizplan mbona unaambiwa uweke namba unachomoa kaka niaje aje?
ni namba ngapi sema basi? ukimya wako unaleta mashaka!!
 
Last edited by a moderator:
bizplan mbona unaambiwa uweke namba unachomoa kaka niaje aje?
ni namba ngapi sema basi? ukimya wako unaleta mashaka!!

Namba inaanzia A. Km 200,000 coz imekuja na km laki na ushee. Ilikuwa inaendeshwa na mwanamke.
 
Last edited by a moderator:
Weka plate number Mkuu tuone

Mkuu najua wataka namba nami sipendi kuweka coz si lazima mtaa mzima ujue nauza gari, japo ni biashara ila ni privacy yangu pia. Pia inabidi watu waelewe inaweza kuwa namba AAA lakini ni nzima kuliko DAA. Cha muhimu kama waipenda njoo uione.
 
Back
Top Bottom