Captain Phillip
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 894
- 538
Wadau,
Mida hii niko mishemishe yangu mitaa hii ya Salender Bridge mbele ya Ubalozi wa Urusi nimeshuhudia Rav 4 Nyeupe ''Kilitime'' inateketea mwanzo mwisho naamini hakuna kitu alichoweza kuokoa huyo aliyekuwa akiendesha.Fire wamekuja wakati moto umeshazimika wenyewe.Dereva wakati anashuka ameonekana kuchanganyikiwa kwani hata ile akili ya kwenda ku-disconnect battery hakupata.
Hapo nikapata wazo jinsi ambavyo huwa tunatozwa hele ya Fire tunapoenda kukata Road Licence matokeo yake tunaishia kuhonga Ma-traffic tunapokuwa hakuna nyenzo za kuzimia moto.Badili tabia.
Mida hii niko mishemishe yangu mitaa hii ya Salender Bridge mbele ya Ubalozi wa Urusi nimeshuhudia Rav 4 Nyeupe ''Kilitime'' inateketea mwanzo mwisho naamini hakuna kitu alichoweza kuokoa huyo aliyekuwa akiendesha.Fire wamekuja wakati moto umeshazimika wenyewe.Dereva wakati anashuka ameonekana kuchanganyikiwa kwani hata ile akili ya kwenda ku-disconnect battery hakupata.
Hapo nikapata wazo jinsi ambavyo huwa tunatozwa hele ya Fire tunapoenda kukata Road Licence matokeo yake tunaishia kuhonga Ma-traffic tunapokuwa hakuna nyenzo za kuzimia moto.Badili tabia.