R ral Senior Member Joined Dec 30, 2009 Posts 133 Reaction score 37 Jan 7, 2012 #21 Jamani na jabulani anahuskaje tena kwenye hili gari? yaani watu 4 wanauza gari moja, Duh 52,384 km
Ndibalema JF-Expert Member Joined Apr 26, 2008 Posts 10,955 Reaction score 4,662 Jan 7, 2012 #22 PakaJimmy said: Senior Counsel na Redbutterfly ni mtu mmoja? Mbona mwatuchanganya? Click to expand... Mkuu upo makini sana. Miye nilishaanza kuingia kichwa kichwa.
PakaJimmy said: Senior Counsel na Redbutterfly ni mtu mmoja? Mbona mwatuchanganya? Click to expand... Mkuu upo makini sana. Miye nilishaanza kuingia kichwa kichwa.
P Parachichi JF-Expert Member Joined Jul 22, 2008 Posts 510 Reaction score 104 Jan 7, 2012 #23 hawa wanatumix!watu wa4 wanauza gari 1 kwa mil.6!mmh naanza kutia shaka
M Mjasiriamali1 JF-Expert Member Joined Jun 8, 2009 Posts 891 Reaction score 240 Jan 8, 2012 #24 hii itakuwa mbovu au inasumbua. Rav 4 6mil?Acheni kushusha bei ya rav4 jamani. Navyojua mm si chini ya 9 to 13 mil hata kama ina three doors. Otherwise utuambia kwann unauza na kama gari hii ni ya alali?
hii itakuwa mbovu au inasumbua. Rav 4 6mil?Acheni kushusha bei ya rav4 jamani. Navyojua mm si chini ya 9 to 13 mil hata kama ina three doors. Otherwise utuambia kwann unauza na kama gari hii ni ya alali?