Ratiba ya uzinduzi wa hostel Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kesho

Kweli Tanzania tuko nyuma sana yaani hostel imekuwa ni kielelezo cha maendeleo??? Yaani serikali inashindana na Taasisi za elimu?? Kumbe urais Tanzania ni kazi rahis hivi
 
Tupige na vigelegele jamani

Hakunaga uongozi uliotokea nchini kama wa awamu ya 5. Hii ingekuwa awamu zilizopita, ingekuwa ndoto jamani kutegemea jengo/majengo kujengwa kihivi na muda unaotumika.

Nawafurahia wanafunzi ambao watapata mwanya wa kusoma na kupunguza mawazo ya wapi wataishi na kulipishwa kodi za kupabga vyumba za ajabu ajabu
mwambie atoe na mikopo sasa sio kujenga majengo huku watu wanarudi nyumbani kwa kukosa mikopo,wengine wanashindia maji
 
Uzinduzi au kuweka jiwe la msingi si kazi maalum ya Makamu wa Rais....Tuache kubeza Viongozi wakuu wa Nchi yetu!!

Kweli tuna kazi kubwa na maadili kwa vijana na hawa ndiyo Polisi au TISS wa kesho....sijui...inaku..
Sio kubeza, rudi nyuma kafuatilie Dr. Bilal na Dr. Shein walikuwa wakionekana mbele za watu ilikuwa hasa kwa shughuli gani kama sio uzinduzi. Halafu kama kufanya uzinduzi ni kitu cha kubeza kwanini wanafanya? Wewe ndio unabeza hiyo shughuli halafu unageuzia wengine.
 
Kabla sijaisoma hiyo ratiba nilijua tu kesho ni ile siku nyingine ya kusikia tambo za bwana Bashite baada ya juzi kuongea kwa dharaaau na kukosa coverage.
Haya sie yetu macho na masikio, ila hakuna marefu yasiyo na ncha.
Leo amekuja na wasanii
 
Ndelichako kweli kabisa yaani kweli mfoji vyeti unakwenda kukaa naye kwa ule mkwara wako wa vyeti feki?
Sasa hebu gusia uhakiki wa vyetu mbele ya mkulu na bashite naamini utaungwa mkono 100% na wanazuoni watakaokwepo hapo!
Atumbuliwe??
 
Utamfahamu baada ya kesi aliyofungua Meya Boniface kuuanza kusikilizwa. Sababu ndiyo itamuumbua na kutaja jina lake halisi.

Ha ha ha haaaa

Huyu aliyejaa wivu na njaa ya ufisadi, umemuona kafungua kesi wapi na juu ya ninayemjua mimi...kama unaongelea ile nacheka kwanza.


Hapa kazi tu
 
Back
Top Bottom