Swali limepima uwezo wa watu kufikiri.
Ratiba muhim sana na mie ni miongoni mwa wafuata Ratiba na I planned this with my best half.
Na ndio maana wenzetu huko duniani wanatuzidi hapo.Wasiofuata ratiba wengi huwa na kawaida ya kupoteza kumbukumbu wakiwa vijana,we mstukize jambo la juzi tu,hana hata moja,na age inapokwenda ndio hali inazidi kuwa tata.
Mkuu we tupo pamoja,sio kuwa kama Fisi maji,kila wakati tu ngono,na ndio maana wasio na ratiba ikifika muda mfupi tu kila mtu anakuwa na lake na hakuna tena hamu ya tendo la ndoa ila ni mazoea ya kufanya tendo la ndoa.
We ukitaka kupima umuhim wa ratiba hembu jiulize wakati ukipangiwa siku ya kukutana na dem wako unajisikiaje.
Na ndio maana wasiofuata ratiba wengi sio waaminifu,maana huko nje akipangiwa siku basi mwili wenyewe unaji TUNE kwa siku hiyo.
Ila huko home maana unajua ndani lipo kondoo la bwana nikuvuta tu.
Ratiba una enjoy sana.
Kwangu ilivyo:
Jmosi:Siku maalum ya six by six
JPili:Ni muda wa kutathimi watoto au familia inataka nini kwa siku inayofuata ya kazi,na kupangailia kazi zangu za kuajiriwa na nilizoajiri
jtatu:Mapumziko,Siku hii hakina kama ni mfanyakazi ni siku ya mwanzo wa wiki na ina chalenge nyingi na tensions sana.Kupumzika na kutathmini,na pia kwa sie Wasilam ni suku ya kufungua Sunna kwa anaetaka
Jnne:-Mapumziko
Jtano:Six by Six
Alkhamis:Mapumziko,Pia ni sku yua kufunga Sunna kwa waislam kwa anaetaka
Ijumaa:Mapumziko:ni Siku ngum sana kikazi,maana ni kufunga wiki ili jtatu uanze fresh
Sasa unakuta siku hizo tupo huru sana,unajua sio kukakufikiria Sex tu, muda wakuacha akili itulie kimaisha ni muhim sana kiafya.ratiba kwangui it makes us ku enjoy sana and healthy.
Huo ni mtizamo wangu tu na maisha yangu wakuu.
But if you have been doing this three times a week,unamatatzio na afya yako unaimaliza,na wasi wasi wangu ni kwamba unaweza kufika 35 years huwezi kwenda hata 3 shots in normal time.
Angalizo,katika ratiba yangu ni kwamba kuna siku za dharura za kupangua ratiba but still remain on 2 times a week.
Nyumba ndogo nyingi kwanini wanamage kukamata watu wa watu awe mwanamke au mwanamume,nikwamba wanapanga siku maalum na siku hizo mtu akipangiwa anakuwa namzuka ile mbaya,na akitoka hapo mwepesiii,maana mapenzi usifanye kwa mazoea,yaani kama ukifanya hivyo ndugu zangu huna chochote unacho enjoy,ila fanya kama vile ni sehem maalum ya Faraja kwako na inawakati maalum na muda maalum.