Ratiba ya tendo la ndoa

...wewe kweli bazazi...hahahahahahahahh!!!!!!!!!!!!!!!!!
jamiif!

Ugomvi huo kutukana watu barazani?
Unatukana huku umefunga kilemba
Tena ukiwa na tabasasmu pana
Tabasamu la kimahaba;
Mahaba ya chumbani.
Kutana basi ukiwa chumbani Bana
Bazazi ni mtu safi kabisa
Anayeishangaa ratiba ya kugegedana


Bazazi!
 
Last edited by a moderator:
Pole kwako kuna ratiba? nijuavyo mie nikimhitaji hata kama nipo jikoni naacha kupika ananipa raha kupika baadae.
nakubaliana nawe kabisa! ratiba mi natupa kuleeeeeeeeeeeeeeee naweka shida chini...namcheki mrembo hivi... bah bah bah banjuka juuu!
 
labda kama ni mama wa nyumbani,wanaofanya kazi wana kiburi sana, kila siku atakuambia amechoka kazini,foleni etc,hivyo kuwa na nafasi ya kukupa siku za jmosi na jumapili tuu

Thubutu! hilo halina mama wa nyumbani wala mfanyakazi inategemea ni jinsi gani umeomba. Epuka kitanda kuwa mahakamani.
 
Reactions: BAK

Hainaga ratiba mkuu.

Popote pale na wakati wowote ule ni sawa tu
 
Mkuu pengine labda mkeo aliwahi kua time keeper nini enz zake za shule?
 
yaaani sisi wabongo tunavituko yaani kila kitu ratiba,mara majadiliano,sijui kongamano,warsha,sijui fursa yote ya nini yaani hata kugegedana ratiba eeeeeenh,hii inanikumbusha hadithi moja kwamba ilitokea wakati meli ilikuwa inataka kuzama sasa kwenye hiyo meli kulikuwa na watu wa mataifa mbalimbali sasa wale raia wengine wakaanza kujiokoa kwa kuvaa maboya na kuchupa kwenye maji kazi ikawa kwa wale wabongo baadaa ya wao kujiokoa wakakusanyana na kuanza kujadiliana namna ya kujiokoa.
 
Acheni kunisimamisha viungo vya uzazi mwenzenu wife kasafiri ni miezi kadhaa sasa
 
Sio mbaya unaweza kujisaidia kwa njia ya simu
 
Mvaa Tai hiyo avatar yako mie huniacha hoi kwa kucheka!!!jamaa hafiki aendeko huyo.....!!!!!!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
kila siku muda wowote wewe weka ratiba ukute unasaidiwa na wenzako..
 
1. Nimechoka sana uwe na huruma na wewe, kha!
2. Kichwa kinaniuma sana leo
3. Sina raha leo moyoni, sijui kwa nini
4. Sijisikii kufanya leo, tufanye kesho
5. Tutafanya baadae, ngoja nipumzike
6. Ninachoka kufanya kila siku.
7. Nadhani nimechubuka humu ndani, siwezi leo ngoja nipone!
8. ,,,,,,,,,,,,,,,

mmmmmhhhhh huu ni ujinga au uhanithi, au ana jini??
 

Na hii ndio hali halisi. Mleta udhi alitarajia kupata mawazo lakini watu wengi ni wanafiki na ni waongo wanajifanya mi sina ratiba lakini ukweli ni kuwa wanawake kwa visingizio vya kukwepa tendo la ndoa pindi wakiwa kwenye ndoa wamekithiri.

Na hii ndio sababu kubwa ya wanaume kuwa na small house.
 
Mnayoyasema hapa ni tofauti na mnayoyafanya. Mkiwa home mara zote hampo tayari visingizio kibao.

ukipewa visingizio uquestion pengine unataka tu ile kitu hata bila kuandaa, ila kama unajua kuandaa hata akisema amechoka baada ya muda atasema naomba bby.
 
Sikuwahi kuiona ratiba khaa!
Hapa nilipo nina mafua;yamenianza jana.Ila nikishapitia kisupu changu cha pweza;mafua tupia kule.Ratiba itoke wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…