MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,704
- 6,516
Kuna tetesi kuwa wapo walioandaliwa kujiuzulu na kuhamia fisiemu, na ipo taarifa kuwa ataongeza mishahara maradufu!
Mkuu saa nyingine watanzania tuna mihemko , Kama eneo la shopping unafanyiwa screening sembuse kwa Mh Rais.Kama wewe ni mtu mzuri, hofu ya nini kuhusu kukaguliwa? Mbona alipokuja Mwanza kufungua kiwanda cha madawa cha Prince tulikaguliwa na hakukuwa na noma yoyote? A President is not a normal person as your simple minds think!
Mkuu jina lake tu linaonyesha alivyo bilabila.Hivi Sokoine alifia Mbeya? Sikumbuki Mimi nilikuwa wapi????
HaaaahhKuna tetesi kuwa wapo walioandaliwa kujiuzulu na kuhamia fisiemu, na ipo taarifa kuwa ataongeza mishahara maradufu!
kajuaje kama kutakuwa na mabango?RC ALBERT CHALAMILA ATOA RATIBA RASMI ZIARA YA RAIS MAGUFULI MBEYA.
Leo majira ya saa 8 mchana, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila amekutana na waandishi wa habari ofisini kwake na kutoa ratiba rasmi ya ziara ya Mheshimiwa Rais Dr. John Pombe Magufuli katika Mkoa huu.
RC Chalamila amesema Mheshimiwa Rais Dr. Magufuli atafika Mkoani Mbeya jioni ya tarehe 25/04/2019 kupitia uwanja wa ndege wa kimataifa wa Songwe uliopo Wilaya ya Mbeya jimbo la Mbeya Vijijini.
Tarehe 26/04/2019 pamoja na mambo mengine atafanya mkutano wa hadhara katika Viwanja vya CCM maarufu kama Rwanda Nzovwe Jijini Mbeya.
Tarehe 27/04/2019 ataendelea na ziara yake katika Wilaya ya Rungwe na Kyela ambapo atasalimiana na wananchi katika eneo la Kiwira, Tukuyu na kufungua kiwanda cha maparachichi, mabweni nk katika chuo cha Ualimu Mpuguso Wilayani Rungwe kisha kuelekea Wilayani Kyela ambako kumejengwa Barabara kisha atafanya mkutano wa hadhara katika Viwanja vya John Mwakangale Wilayani humo.
Tarehe 28/04/2019 atakuwa katika viwanja vya Sokoine Jijini Mbeya katika tukio la uapisho wa Askofu Nyaisonga wa Kanisa Katoliki.
RC Chalamila ametoa wito kwa watakaohudhuria sherehe hizo kuingia uwanjani kabla ya saa 4 asubuhi na kwamba kila atakayeingia uwanjani humo atakaguliwa kwa ajili ya usalama.
29/04/2019 ataelekea Wilayani Chunya.
30/04/2019 atafanya ziara Jijini Mbeya na atazungumza na wanazuoni wa vyuo na vyuo vikuu katika eneo la Chuo Kikuu cha sayansi na Teknolojia (MUST).
Tarehe 01/05/2019 atakuwa mgeni rasmi katika sherehe za wafanyakazi (MEI MOSI) zitakazofanyika Kitaifa katika Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya.
02/05/2019 atamalizia ziara yake katika Wilaya ya Mbeya (Mbeya Vijijini) kwa kutembelea Kiwanda cha Saruji cha Mbeya Cement.
RC Chalamila amewakaribisha wananchi wote kumlaki Mheshimiwa Rais Dr. Magufuli na amesema mabango yenye tija yasiyo ya uchochezi yanaruhusiwa.
Ugumu wanauleta wenyewe na complications zao but masikini ya Mungu wananchi hata hawana neno,Utukufu uko kwetu wananchi ndio maana hta wenye silaha bado wanatuogopaWananchi wanatakiwa kuingia uwanjani saa 4 halafu rais anaingia saa 10, chakula watapewa? halafu huyu ni kipenzi cha wanyonge sasa hofu ya nini mpaka kukaguana au mbeya siyo kwa wanyonge?
haswaa na yatakayomtukuza yeye mkuu na chama chake!!kajuaje kama kutakuwa na mabango?
kwa hio mabango ya kusifia ndege ndio yanaruhusiwa tu
kwahiyo tuseme anawachora kina mhagama na mkuchika ili baadae waonekane wasaliti kama kwenye kikotoo?Kuna tetesi kuwa wapo walioandaliwa kujiuzulu na kuhamia fisiemu, na ipo taarifa kuwa ataongeza mishahara maradufu!
Vip Raisi wa Mbeya atakwepo kwenye mapokeziRC ALBERT CHALAMILA ATOA RATIBA RASMI ZIARA YA RAIS MAGUFULI MBEYA.
Leo majira ya saa 8 mchana, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila amekutana na waandishi wa habari ofisini kwake na kutoa ratiba rasmi ya ziara ya Mheshimiwa Rais Dr. John Pombe Magufuli katika Mkoa huu.
RC Chalamila amesema Mheshimiwa Rais Dr. Magufuli atafika Mkoani Mbeya jioni ya tarehe 25/04/2019 kupitia uwanja wa ndege wa kimataifa wa Songwe uliopo Wilaya ya Mbeya jimbo la Mbeya Vijijini.
Tarehe 26/04/2019 pamoja na mambo mengine atafanya mkutano wa hadhara katika Viwanja vya CCM maarufu kama Rwanda Nzovwe Jijini Mbeya.
Tarehe 27/04/2019 ataendelea na ziara yake katika Wilaya ya Rungwe na Kyela ambapo atasalimiana na wananchi katika eneo la Kiwira, Tukuyu na kufungua kiwanda cha maparachichi, mabweni nk katika chuo cha Ualimu Mpuguso Wilayani Rungwe kisha kuelekea Wilayani Kyela ambako kumejengwa Barabara kisha atafanya mkutano wa hadhara katika Viwanja vya John Mwakangale Wilayani humo.
Tarehe 28/04/2019 atakuwa katika viwanja vya Sokoine Jijini Mbeya katika tukio la uapisho wa Askofu Nyaisonga wa Kanisa Katoliki.
RC Chalamila ametoa wito kwa watakaohudhuria sherehe hizo kuingia uwanjani kabla ya saa 4 asubuhi na kwamba kila atakayeingia uwanjani humo atakaguliwa kwa ajili ya usalama.
29/04/2019 ataelekea Wilayani Chunya.
30/04/2019 atafanya ziara Jijini Mbeya na atazungumza na wanazuoni wa vyuo na vyuo vikuu katika eneo la Chuo Kikuu cha sayansi na Teknolojia (MUST).
Tarehe 01/05/2019 atakuwa mgeni rasmi katika sherehe za wafanyakazi (MEI MOSI) zitakazofanyika Kitaifa katika Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya.
02/05/2019 atamalizia ziara yake katika Wilaya ya Mbeya (Mbeya Vijijini) kwa kutembelea Kiwanda cha Saruji cha Mbeya Cement.
RC Chalamila amewakaribisha wananchi wote kumlaki Mheshimiwa Rais Dr. Magufuli na amesema mabango yenye tija yasiyo ya uchochezi yanaruhusiwa.
Huo sasa ni uchochezi,kwani amekwambia ukaguziwao ni kwa sababu rais anakuja au ndio utaratibu wa viwanja vya ndege.Wananchi wanatakiwa kuingia uwanjani saa 4 halafu rais anaingia saa 10, chakula watapewa? halafu huyu ni kipenzi cha wanyonge sasa hofu ya nini mpaka kukaguana au mbeya siyo kwa wanyonge?
Kama ni mpenda maendeleo atakuwepo lkn km nimpingaji wa maendeleo atakuwa anakunywa mbege.Vip Raisi wa Mbeya atakwepo kwenye mapokezi
Tunaishi zama tofauti; kukaguliwa ni mambo ambayo inabidi watu wayazoee tu.. kwenye nchi za wenzetu hata watu wakiingia kwenye klabu ya disko tu wanakaguliwa...
Rais wetu ni msikivu sana.Kuna upuuzi mwingi sana
Labda waogope kuongea
Unajua watu wengine wameshazoea kupingapinga tu kila kitu,anaweza akajipinga hata yeye mwenyewe.Suala la ukaguzi wanalichukulia kama suala la kutokuwa na imani,kumbe ni usama tu unafanywa pale.Sio nchi za wenzetu, nenda Club de Alberto moshi hapo ukaguzi ni muhimu, vipi ukiingia na kisu au silaha yoyote kumdhuru mtu
kumbe kipindi cha sokoine kulikua na chedemaHivi wewe unajitambua.
Huyo mwenyekiti wenu wa kudumu wa chama tu analindwa na mibaunsa itakuwa Rais, tena mwenye uthubutu. Msijekutupotezea Rais wetu kama mlivyompoteza PM Sokoine
NASIKIA 2020 Watanzania wataipiga marufuku POMBEKama ni mpenda maendeleo atakuwepo lkn km nimpingaji wa maendeleo atakuwa anakunywa mbege.