Philip Dominick
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 1,021
- 189
Ratiba ya mazishi ya marehemu
LANGA KILEO itakuwa kama
ifuatavyo . Msiba upo nyumbani
kwa wazazi wa LANGA ambapo ni
maeneo ya MIKOCHENI nyuma ya
hospitali ya AAR .
Mwili wa marehemu utaagwa siku
ya Jumatatu, Saa 7 mchana na
baada ya hapo mwili utaelekea
makaburini Kinondoni kwa mazishi
ambapo imepangwa itakuwa ni
majira ya saa kumi alasiri
R.I.P Langa Kileo
LANGA KILEO itakuwa kama
ifuatavyo . Msiba upo nyumbani
kwa wazazi wa LANGA ambapo ni
maeneo ya MIKOCHENI nyuma ya
hospitali ya AAR .
Mwili wa marehemu utaagwa siku
ya Jumatatu, Saa 7 mchana na
baada ya hapo mwili utaelekea
makaburini Kinondoni kwa mazishi
ambapo imepangwa itakuwa ni
majira ya saa kumi alasiri
R.I.P Langa Kileo