Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,618
TETESI: MSHONO wa PROFESA UMEFUMUKA BAADA YA BUNGE LA JANA
Duh, nime tune Radio one nasikia tu methali za watotot, nakimbilia Arushamambo nako kuna mziki wa Bango toka Mombasa! Leo radio one hawatangazi?Rasmi-Bunge litarejea na vikao vyake leo jumamosi kuanzia saa 3:00 Asubuhi baada ya kuvunjika jana usiku.Litaendelea na mjadala wa Escrow.Taarifa ya Bunge imetangazwa hivi punde.
Asante
mm namsubiri MKULU akishatua leo kama atakuwa na jipya hasa ktk ile hotuba yake ya mwisho wa mwezi
Duh, nime tune Radio one nasikia tu methali za watotot, nakimbilia Arushamambo nako kuna mziki wa Bango toka Mombasa! Leo radio one hawatangazi?
Kwetu wameshakata umeme...bora bunge liishe maana huyu muongo anatuweka giza all the time.
kwa sauti ya jk,hivi ndivyo atakavyo wahadaa watz: "..ni kweli kwamba swala hili limetutia aibu kitaifa na kimataifa......nchi hii ni nchi inayofata utawala wa sheria na utawala bora......serikali itaunda tume ya uchunguzi kubaini ni wapi kulikuwa na tatizo lililopelekea haya yatokee......hatuwezi kuwakumu watuhimiwa kwa tuhuma bila ushahidi.....tuiache tume afanye kazi yake.......".
huyo ndie le profeseri jk.mengine jaza mwenyewe.
TETESI: MSHONO wa PROFESA UMEFUMUKA BAADA YA BUNGE LA JANA
kwa sauti ya jk,hivi ndivyo atakavyo wahadaa watz: "..ni kweli kwamba swala hili limetutia aibu kitaifa na kimataifa......nchi hii ni nchi inayofata utawala wa sheria na utawala bora......serikali itaunda tume ya uchunguzi kubaini ni wapi kulikuwa na tatizo lililopelekea haya yatokee......hatuwezi kuwakumu watuhimiwa kwa tuhuma bila ushahidi.....tuiache tume afanye kazi yake.......".
huyo ndie le profeseri jk.mengine jaza mwenyewe.
Tunataka kujua leo kikao kinaendelea au bunge limemalizika kihivyo? naomba walioko bungeni au mamlaka watujuze.kama mambo yameisha tumefanye mambo mengine maana tangu novemba 26 tuko dodoma kifkra nk.
wahusika tafadhali tupatie ratiba mpya kama ipo
UPDATES
Bunge limharishwa tena litarejea saa 5 asubuhi ya leo
TETESI: MSHONO wa PROFESA UMEFUMUKA BAADA YA BUNGE LA JANA
Kuwapa nafasi watuhumiwa wa PAC wachangie katika mapendekezo ya BUNGE ni kama kuwapa nafasi ya kujitetea kitu ambacho tafsiri yake ni kutaka kuwahukumu kitu ambacho bunge haliwezi , nionacho mimi ni kwamba wale watuhumiwa walotajwa kwenye ripoti ya PAC wasingeruhusiwa kuingia kwenye huu mjadala ili watu wawe huru kuchangia mapendekezo..
Informer wetu Yericko katekwa?
TETESI: MSHONO wa PROFESA UMEFUMUKA BAADA YA BUNGE LA JANA
Rasmi-Bunge litarejea na vikao vyake leo jumamosi kuanzia saa 3:00 Asubuhi baada ya kuvunjika jana usiku.Litaendelea na mjadala wa Escrow.Taarifa ya Bunge imetangazwa hivi punde.
Asante