FTP
JF-Expert Member
- Jun 6, 2013
- 514
- 240
Tunataka kujua leo kikao kinaendelea au bunge limemalizika kihivyo? naomba walioko bungeni au mamlaka watujuze.kama mambo yameisha tumefanye mambo mengine maana tangu novemba 26 tuko dodoma kifkra nk.
wahusika tafadhali tupatie ratiba mpya kama ipo
UPDATES
Bunge Limehairishwa tena litarejea saa 10 jioni
Bunge limharishwa tena litarejea saa 5 asubuhi ya leo
UP
wahusika tafadhali tupatie ratiba mpya kama ipo
Rasmi-Bunge litarejea na vikao vyake leo jumamosi kuanzia saa 3:00 Asubuhi baada ya kuvunjika jana usiku.Litaendelea na mjadala wa Escrow.Taarifa ya Bunge imetangazwa hivi punde.
Asante
UPDATES
Bunge Limehairishwa tena litarejea saa 10 jioni
Bunge limharishwa tena litarejea saa 5 asubuhi ya leo
UP