Mnazani hicho ndo kigezo cha kukubalika na wananchi au kuua upinzani umekuja na mawazo ya kishamba sanaNa wanafiki chadema watakuwepo?
Kuna wabwekaji humu mtandaoni wanamtukana Magufuli
Ila wakitaka kwenda kwao wanapanda ndege za Magufuli
Achana nao hao,wanashindwa kujua kua hiyo ni mali ya Magufuli na ametoa zawadi kwa watuKuna wabwekaji humu mtandaoni wanamtukana Magufuli
Ila wakitaka kwenda kwao wanapanda ndege za Magufuli
Kuanzia lini Magufuli anamiliki ndege?Kuna wabwekaji humu mtandaoni wanamtukana Magufuli
Ila wakitaka kwenda kwao wanapanda ndege za Magufuli
Ndege za nani????Kuna wabwekaji humu mtandaoni wanamtukana Magufuli
Ila wakitaka kwenda kwao wanapanda ndege za Magufuli
HAYAA awana uwezooo na WEWE mpumbavu unaetukana. Unapelekaaa baba na mamayakooo ATCL unahisi ndege za SHANGAZI zakooo ZILE.......ficha UPUMBAVU wakooooHahahahaaaaaa wapi hao Watanzania wanapanda ndege kwenda kwao? Wewe mwenyewe huwezo wa kupanda ndege huna, unashabikia upumbavu tu. Ndege inapokelewa hahahaaaaa, mmeanza kupokea vitu visivyo na utashi ndio mwanzo wa kuabudu sanamu.
Iko siku Mungu atachoka na kupatwa na hasira na kutoa hukumu.