Ratco ni zake kabisa ritzmocko hadi na post ujumbe huu niko ndaní ya Ratco maeneo ya michenzani tunaelekea Tanga mimi ni konda wake
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Ratco ni zake kabisa ritzmocko hadi na post ujumbe huu niko ndaní ya Ratco maeneo ya michenzani tunaelekea Tanga mimi ni konda wake
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Ukwel ni upi, kwamba kampuni ya usafirishaji abiri na mizigo ya ratco tanga na tanga beach resort ni mali ya riziwani au baba yake? Ni kwel barabara ya kutoka duga mwemben hadi tanga beach imetengenezwa maalum kwa ajl ya kupeleka wageni tanga beach?
thanks kabanga na nimewaelewa vema. Nikipata nauli nitakujaoh!sawa ...
18,000
Tanga -dar
Tatizo ni nini???????,,!!!!, haruhusiwi kumiliki vitega uchumi?. Kaanzisheni vyenu, acheni majunguNaona wanachelewa sana kuja kujibu. Basi acha niwajibie, ni kweli kabisa ni mali zao kabisaaaaaa!!!!
Tatizo ni nini???????,,!!!!, haruhusiwi kumiliki vitega uchumi?. Kaanzisheni vyenu, acheni majungu
nauli sh ngapi