Rasmu ya Katiba ni sawa Muswada wa Sheria unaoandaliwa na Serikali

Kamanda Francis

JF-Expert Member
Nov 30, 2013
834
140
Wakuu, Mimi Gamba Sugu, naamini katika uwazi na uwajibikaji ndani ya Taasisi mbalimbali kama vile vyama vya Siasa na hata Serikali kwa ujumla.

Nasema haya kwa sababu, Serikali hii ya magamba wenzangu, Inaendelea kueneza upotoshaji wa wazi tena bila aibu. "Rasmu ya Katiba iliyowasilishwa Dodoma na Tume ya Warioba ndio muswada ulioandaliwa na Serikali hii hii ya CCM na ndio wenye misingi mikuu ya Katiba yetu tuitakayo huku uraiani.

Tunaposema misingi mikuu, hapa tunamaanisha Muundo wa Muungano wenye Shirikisho la Serikali tatu, kamwe huwezi kuuondoa muundo huu, na kama unauondoa, Inamaana una dhumuni la kuifumua Rasmu nzima, kitu ambacho unalenga kukomba kodi za wanyonge kwa mara ya pili.

Wananchi tuliopo nje tunasema, kama maoni yetu yaliyomo kwenye Tume ya Warioba hayatapewa kipaumbele huko Dodoma, ni bora mwezi August msirudi huko Dodoma kuharibu kodi zetu bure, ambazo zingechimba visima vya maji, kununua madawati ama vitanda kwenye Zanahati huku vijijini maana tunaseka mahali pa kujifungulia.
 
Akhsante GAMBA SUGU,Nami kwa kuongezea nashauri wakirudi hapo kati nasi tukutanie hapo hapo kati kutoka kila pande ya TAIFA tuwatoe nduki.Au vipi washkaj???"WAKE UP MA~PEOPLE".
 
Akhsante GAMBA SUGU,Nami kwa kuongezea nashauri wakirudi hapo kati nasi tukutanie hapo hapo kati kutoka kila pande ya TAIFA tuwatoe nduki.Au vipi washkaj???"WAKE UP MA~PEOPLE".

Hapo sawa, Imekaa poa sana hiyo...
 
Wakuu, Mimi Gamba Sugu, naamini katika uwazi na uwajibikaji ndani ya Taasisi mbalimbali kama vile vyama vya Siasa na hata Serikali kwa ujumla.

Nasema haya kwa sababu, Serikali hii ya magamba wenzangu, Inaendelea kueneza upotoshaji wa wazi tena bila aibu. "Rasmu ya Katiba iliyowasilishwa Dodoma na Tume ya Warioba ndio muswada ulioandaliwa na Serikali hii hii ya CCM na ndio wenye misingi mikuu ya Katiba yetu tuitakayo huku uraiani.

Tunaposema misingi mikuu, hapa tunamaanisha Muundo wa Muungano wenye Shirikisho la Serikali tatu, kamwe huwezi kuuondoa muundo huu, na kama unauondoa, Inamaana una dhumuni la kuifumua Rasmu nzima, kitu ambacho unalenga kukomba kodi za wanyonge kwa mara ya pili.

Wananchi tuliopo nje tunasema, kama maoni yetu yaliyomo kwenye Tume ya Warioba hayatapewa kipaumbele huko Dodoma, ni bora mwezi August msirudi huko Dodoma kuharibu kodi zetu bure, ambazo zingechimba visima vya maji, kununua madawati ama vitanda kwenye Zanahati huku vijijini maana tunaseka mahali pa kujifungulia.

Mkuu kama hujui ni bora ukauliza juu ya Miswada ya Serikali kuliko kutudanganya eti Rasimu ya Warioba ndio Muswada wa Serikali!
 
Mkuu kama hujui ni bora ukauliza juu ya Miswada ya Serikali kuliko kutudanganya eti Rasimu ya Warioba ndio Muswada wa Serikali!

Mkuu, punguza kuchanganya viroba na konyagi ndani ya Gongo, utalewa vibaya sana. Ni ushauri tu.
 
Haya wewe usiyelewa viroba tuambie ni wakati gani ambao Serikali iliandaa Muswada ambao ndio Rasimu ya Warioba?

Rasmu ya Warioba ndio Mswada wenye msingi wa Katiba mpya tuitakayo, namaanisha Serikali tatu. unabisha na hilo...
 
Back
Top Bottom