GE2025 Rasmi: Zitto Kabwe anapambana na CHADEMA, lakini Je, ataweza?

GE2025 Rasmi: Zitto Kabwe anapambana na CHADEMA, lakini Je, ataweza?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Zitto Kabwe ameshindwa kupambambana na UKURUTU usoni kwake,🤣🤣🤣 ataweza nini??

Ubunge hatashinda, kupambana na CHADEMA hataweza.

Zitto anza kwanza na UKURUTU kwenye uso wako!! Mengine yote yafuatie!!!🤣🤣🤣🤣
Akili ndogo hujadili watu.

Utajisikiaje wakimkosoa namna hii Lissu au kiongozi yeyote unaemkubali wa CDM.

Jifunze kuficha ujinga mbele za watu itakusaidia.
 
Kama Reforms zikifanyika Zotto ataugua kisukari

Zitto maombi yake makubwa ni Chadema isiwepo kwenye kinyanganyiro Cha uchaguzi ili apate huruma ya lupewa vijimbo kadhaa
1000073787.jpg

Wenye akili wameshayaona mauti,
Wasalimieni CUF na TLP.
 
Wapuuzi nyie, mnadhani watanzania wote ni Manyumbu kama nyie, Hamana uwezo wa kuzuwia uchaguzi huo ndio ukweli. Nyinyi wenyewe kutwa mnaoambana na ACT badala ya kueleza mtazuia vipi uchaguzi mmeamua kumshambulia Zitto, kwisha habari yenu. Kuchamba kwingi, DJ kawatelekeza na ujuaji wenu huo.
FINITO CDM
 
Kwa Wale wanaokumbuka, Wakati wa Utawala wa Jakaya Kikwete, Zitto Kabwe alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema

Na ndiye aliyekuwa anaongozana na Jakaya Kikwete kwenye ziara za Nje ya Nchi (Shangaa wewe), Yaani Zitto akiwa Chadema rafiki yake alikuwa Jakaya Kikwete Mwenyekiti wa CCM!

Mengi yalitokea lakini Hatimaye Chadema ikaishtukia kolabo yao, ikatimua Zitto na Wafuasi wake akiwemo Kitilla Mkumbo, Zitto akaingia kwenye chama alichokianzisha akiwa bado yuko Chadema kwa Msaada wa Kikwete na Watu wa serikali

Kipindi cha Kikwete kikaisha, Zitto akawa tena "Mpinzani" akaanza kupambana na ccm ya Magufuli, akafunguliwa hadi vijikesi uchwara, Watu wakaamini huyu sasa ni Mpinzani wa kweli.

Siku zote Mungu hamfichi Mnafiki, Rafiki wa Zitto Jakaya Kikwete amerudi tena"madarakani" Bwana Zitto ameungana naye tena kuwadanganya Wananchi.

Angalia Hoja za Chadema halafu angalia pia Majibu ya Zitto Kabwe ambaye anatajwa kama kiongozi Mstaafu wa ACT WAZALENDO Hapo Chini

View attachment 3399419

Ngoja Tuone Mwisho wake.
ZITTO ni mmoja kati ya GENGE nyuma ya Samia Suluhu Hassan kubaki madarakani kwa nguvu. Hilo lipo wazi.
 
ZITTO ni mmoja kati ya GENGE nyuma ya Samia Suluhu Hassan kubaki madarakani kwa nguvu. Hilo lipo wazi.
Achaneni na Zitto, pambanieni chadema kiwe hai hadi 2030
1000073787.jpg

Chama kiko ICU nyie bado mnapambana na Zitto hiyo akili gani?
 
Nje ya point kidogo ? Nini dhima ya Vyama vya Siasa ?
  • Kupinga aliyepo madarakani ili wewe utawale ?
  • Au kuungana na watu wenye fikra mawazo sawa ili kupaza sauti zenu ? Pia ikibidi kuungana na wengine katika mambo tofauti tofauti iwapo yanaendana na fikra zako ?
On that token kama Zitto na Chadema wana fikra sawa what is the point of having ACT au kuwa Chama kingine ? Na kama issue ni Upinzani / Kupinga / Kumuondoa CCM nadhani option ilikuwa wapinzani kuungana (as in UKAWA) lakini tunajua hili liliishia wapi.

Ushauri wa bure acheni kungombana wenyewe kwa wenyewe anayefurahia hizi sarakasi ni anayelamba asali muda huu; Hizo ammunition mnazozipoteza kwa kina Zitto, mara Makonda, mara Wassira mara wasanii wa Bongo mara mashabiki wa mpira mngezielekeza kwa Samia na Serikali yake; there is a lot going wrong at the moment which can be rectified huu muda ungekuwa ni wa kuonyesha ni vipi mta rectify.. kwa objectives ambazo ni Smart (Measurable, Achievable, Relevant, and Time-bound)
 
Kwa Wale wanaokumbuka, Wakati wa Utawala wa Jakaya Kikwete, Zitto Kabwe alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema

Na ndiye aliyekuwa anaongozana na Jakaya Kikwete kwenye ziara za Nje ya Nchi (Shangaa wewe), Yaani Zitto akiwa Chadema rafiki yake alikuwa Jakaya Kikwete Mwenyekiti wa CCM!

Mengi yalitokea lakini Hatimaye Chadema ikaishtukia kolabo yao, ikatimua Zitto na Wafuasi wake akiwemo Kitilla Mkumbo, Zitto akaingia kwenye chama alichokianzisha akiwa bado yuko Chadema kwa Msaada wa Kikwete na Watu wa serikali

Kipindi cha Kikwete kikaisha, Zitto akawa tena "Mpinzani" akaanza kupambana na ccm ya Magufuli, akafunguliwa hadi vijikesi uchwara, Watu wakaamini huyu sasa ni Mpinzani wa kweli.

Siku zote Mungu hamfichi Mnafiki, Rafiki wa Zitto Jakaya Kikwete amerudi tena"madarakani" Bwana Zitto ameungana naye tena kuwadanganya Wananchi.

Angalia Hoja za Chadema halafu angalia pia Majibu ya Zitto Kabwe ambaye anatajwa kama kiongozi Mstaafu wa ACT WAZALENDO Hapo Chini

View attachment 3399419

Ngoja Tuone Mwisho wake.
Hakuna mtu hatali kama zzito, zzito ni mdini sana.
 
Kwa Wale wanaokumbuka, Wakati wa Utawala wa Jakaya Kikwete, Zitto Kabwe alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema

Na ndiye aliyekuwa anaongozana na Jakaya Kikwete kwenye ziara za Nje ya Nchi (Shangaa wewe), Yaani Zitto akiwa Chadema rafiki yake alikuwa Jakaya Kikwete Mwenyekiti wa CCM!

Mengi yalitokea lakini Hatimaye Chadema ikaishtukia kolabo yao, ikatimua Zitto na Wafuasi wake akiwemo Kitilla Mkumbo, Zitto akaingia kwenye chama alichokianzisha akiwa bado yuko Chadema kwa Msaada wa Kikwete na Watu wa serikali

Kipindi cha Kikwete kikaisha, Zitto akawa tena "Mpinzani" akaanza kupambana na ccm ya Magufuli, akafunguliwa hadi vijikesi uchwara, Watu wakaamini huyu sasa ni Mpinzani wa kweli.

Siku zote Mungu hamfichi Mnafiki, Rafiki wa Zitto Jakaya Kikwete amerudi tena"madarakani" Bwana Zitto ameungana naye tena kuwadanganya Wananchi.

Angalia Hoja za Chadema halafu angalia pia Majibu ya Zitto Kabwe ambaye anatajwa kama kiongozi Mstaafu wa ACT WAZALENDO Hapo Chini

View attachment 3399419

Ngoja Tuone Mwisho wake.
ACT wako vizuri
 
Hofu ya nini, na kila kitu kinaenda kama kilivyopangwa, endeleeni kudanganywa na mabeberu.
Unavyo jieleza hapa, ni wazi upeo wako ni mfinyu. Hao "mabeberu" unawaingiza humu kwa sababu zipi?
Hujui matendo ya viongozi wenu, Samia na GENGE lake ndio wanawavuta hao mabeberu?
 
Kwa Wale wanaokumbuka, Wakati wa Utawala wa Jakaya Kikwete, Zitto Kabwe alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema

Na ndiye aliyekuwa anaongozana na Jakaya Kikwete kwenye ziara za Nje ya Nchi (Shangaa wewe), Yaani Zitto akiwa Chadema rafiki yake alikuwa Jakaya Kikwete Mwenyekiti wa CCM!

Mengi yalitokea lakini Hatimaye Chadema ikaishtukia kolabo yao, ikatimua Zitto na Wafuasi wake akiwemo Kitilla Mkumbo, Zitto akaingia kwenye chama alichokianzisha akiwa bado yuko Chadema kwa Msaada wa Kikwete na Watu wa serikali

Kipindi cha Kikwete kikaisha, Zitto akawa tena "Mpinzani" akaanza kupambana na ccm ya Magufuli, akafunguliwa hadi vijikesi uchwara, Watu wakaamini huyu sasa ni Mpinzani wa kweli.

Siku zote Mungu hamfichi Mnafiki, Rafiki wa Zitto Jakaya Kikwete amerudi tena"madarakani" Bwana Zitto ameungana naye tena kuwadanganya Wananchi.

Angalia Hoja za Chadema halafu angalia pia Majibu ya Zitto Kabwe ambaye anatajwa kama kiongozi Mstaafu wa ACT WAZALENDO Hapo Chini

View attachment 3399419

Ngoja Tuone Mwisho wake.
Hivi sio nyie ndo mnamwita sijui Mamluki, mara CCM B, mara anatumika nk. Sasa kelele za nini humu. Mnataka awaunge mkono CDM wakati mlishamwita CCM B?
Kila chama kijipambanie kivyake kwani wote wanachotafuta ni kula yao tu. So kila mmoja apambane kivyake
 
Soma andiko pale juu, mbona limejieleza tu kirahisi!
Fanyeni yenu mwacheni. Mkiona inawauma sana basi pambaneni nae. Mkitoka huko mkisikia CHAUMA nao wamefanya mkutano mtakuja hapa kulia tena. Kwani nyie ni nani mpk muwapangie vyama vingine namna ya kufanya siasa zao. Yaani mnaboa nyie utadhani ma last born kwa kulalamika
 
Hivi sio nyie ndo mnamwita sijui Mamluki, mara CCM B, mara anatumika nk. Sasa kelele za nini humu. Mnataka awaunge mkono CDM wakati mlishamwita CCM B?
Kila chama kijipambanie kivyake kwani wote wanachotafuta ni kula yao tu. So kila mmoja apambane kivyake
Hoja umeielewa?
 
Back
Top Bottom