Ndio ivyo mkuuNo. Hiyo sheria imeondolewa mashindano ya vilabu Ulaya sio Afrika.
No mkuu tuna assume ingekua imetumika kwetu.No. Hiyo sheria imeondolewa mashindano ya vilabu Ulaya sio Afrika.
Watakuwa wanaangalia aggregate tu. Kama aggregate itakuwa wanalingana wanaongeza dakika 30 kisha penati.Hii sijaipata fresh,
Ina maanisha Simba akienda Zambia kucheza na Nkana, tukapigwa 2-1
Inatakiwa ashinde goli ngapi kwa mkapa ili asonge mbele?
Hata Africa ingewekwe ingekua vizuri SanaHiyo sheria ilikua ya ovyo na wamecheleea kuiondoa.Kule america kusini wenye mpira wao hakuna mambo kama hayo kule ni kazi kazi mwanzo mwisho.Ngoja tuone kama na Caf wataliona hili.
Hii ya Chelsea vs Barca ni unforgettable aise ..dah! Iniesta alitufanyia kitu mbaya sana.Habari ndio hiyo, sasa kila mbuzi atakula kwa urefu wa kamba yake.
Sheria hiyo iliyoanzishwa mwaka 1965 itaondolewa kuanzia msimu ujao kwenye mashindano ya UEFA ikiwemo Champions League.
Sheria hiyo iliyokuwa inaibeba timu iliyofunga magoli mengi ugenini imekuwa ikitumiwa kwenye mashindano yote ya UEFA ngazi za vilabu kuanzia Europa League na Champions League.
Rais wa UEFA Alexander Ceferin amenukukiwa akisema; sio sahihi tena kwa goli la ugenini kuwa na uzito wa ziada.
Natumai Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) nalo litafuata mfano wa UEFA kuondoa hiyo sheria iliyopitwa na wakati.
- Ushindi mechi tano wakukumbukwa zaidi wa sheria ya goli la ugenini, ligi ya mabingwa Ulaya.
1. May 2019: Ajax 2 - Tottenham 3 (Agg. 3-3), Tottenham wakapita kwa goli la ugenini.
2. Apr. 2019: Man City 4 - Tottenham 3 (Agg. 4-4), Tottenham wakapita kwa goli la ugenini.
3. March 2019: PSG 1- Man Utd 3 (Agg. 3-3) Man utd wakapita kwa goli la ugenini.
4. April 2018: Roma 3- Barca 0 (Agg. 4-4) Roma wakapita kwa goli la ugenini.
5. May 2009: Chelsea 1 - Barca 1 (Agg. 1-1) Barca wakapita kwa goli la ugenini.
Hii ya Chelsea vs Barca ni unforgettable aise ..dah! Iniesta alitufanyia kitu mbaya sana.
Hii sijaipata fresh,
Ina maanisha Simba akienda Zambia kucheza na Nkana, tukapigwa 2-1
Inatakiwa ashinde goli ngapi kwa mkapa ili asonge mbele
Ile mechi Barca waliinunua kwa Uefa, ni kama CCM wanavyonunua ushindi kwenye uchaguzi kutoka tume ya uchaguzi.Mimi siishabikiii chelsea ila mechi nayo refa alifanya madudu mpaka michael balack akawa anamfuata refa anakimbia kufuata mpira aisee ile mechi drogba alitukana balaa.hakukuwa na VAR.ila ile mechi waliibiwa chelesea
Jamaa ana point. Kama mipaka ya uwanja inajulikana na idadi ya wachezaji ni sawa, sasa iweje useme hutakiwi kufunga goli ukiwa umeotea . Mzembe hapo ni yule alietakiwa kunikaba maana idadi tuko sawa.Mpira wa miguu siyo rede chief. Ungekua unaangalia mpira ungejua kwanini offside ilikua introduced.
Yani unataka kuuwa mpiraWaondoe na off side
Bwana usinichekeshe bwanaJamaa ana point. Kama mipaka ya uwanja inajulikana na idadi ya wachezaji ni sawa, sasa iweje useme hutakiwi kufunga goli ukiwa umeotea . Mzembe hapo ni yule alietakiwa kunikaba maana idadi tuko sawa.
na Mlleta Mada denooJ utuwekee hiyo LinkNo. Hiyo sheria imeondolewa mashindano ngazi ya vilabu Ulaya sio Afrika.
Yule Refa alikuwa ni shabiki wa man u na alishawekaga wazi enzi zake kuwa Chelsea ni timu iliyozaliwa 2004( imagine pale ilikuwa 2009) hivyo mechi yeyote ikichezwa vs Chelsea basi Kuna uwezekano Chelsea ikapoteza iyo mechi. Aliitwa Howard Web huyu jamaa mashabiki wa Chelsea hatutomsahau aise.Mimi siishabikiii chelsea ila mechi nayo refa alifanya madudu mpaka michael balack akawa anamfuata refa anakimbia kufuata mpira aisee ile mechi drogba alitukana balaa.hakukuwa na VAR.ila ile mechi waliibiwa chelesea
Sio kuchekesha , hivi unaona sawa goli kukataliwa kisa mfungaji kazidi bega?Bwana usinichekeshe bwana
Yule Refa alikuwa ni shabiki wa man u na alishawekaga wazi enzi zake kuwa Chelsea ni timu iliyozaliwa 2004( imagine pale ilikuwa 2009) hivyo mechi yeyote ikichezwa vs Chelsea basi Kuna uwezekano Chelsea ikapoteza iyo mechi. Aliitwa Howard Web huyu jamaa mashabiki wa Chelsea hatutomsahau aise.
Hii mimi naunga mkono hoja.Waondoe na off side
Sema labda irekebishwe kwa wazo alilotoa WengerSio kuchekesha , hivi unaona sawa goli kukataliwa kisa mfungaji kazidi bega?
Tukumbushe wenger alisemajeSema labda irekebishwe kwa wazo alilotoa Wenger