S Smart codetz JF-Expert Member Joined Jan 25, 2023 Posts 228 Reaction score 933 Jun 5, 2023 #1 KWAHERI AUGUSTINE OKRAH Uongozi wa klabu ya Simba umetangaza rasmi kuachana na kiungo mshambuliaji Augustine Okrah π¬π baada ya kumalizika mkataba wake ndani ya klabu na mchezaji hataongezewa mkataba mpya.
KWAHERI AUGUSTINE OKRAH Uongozi wa klabu ya Simba umetangaza rasmi kuachana na kiungo mshambuliaji Augustine Okrah π¬π baada ya kumalizika mkataba wake ndani ya klabu na mchezaji hataongezewa mkataba mpya.
3 Angels message JF-Expert Member Joined Aug 3, 2017 Posts 5,571 Reaction score 16,243 Jun 5, 2023 #2 Tunamshukuru kwa huduma yake ndani ya klabu bora na yenye mafanikio makubwa ndani na nje ya Tanzania
Song of Solomon JF-Expert Member Joined Aug 5, 2021 Posts 2,751 Reaction score 5,623 Jun 5, 2023 #3 3 Angels message said: Tunamshukuru kwa huduma yake ndani ya klabu bora na yenye mafanikio makubwa ndani na nje ya Tanzania Click to expand... Utaahira ni mzigo mkubwa sana yaani Simba Ina mafanikio ndani na nje ya Tanzania?
3 Angels message said: Tunamshukuru kwa huduma yake ndani ya klabu bora na yenye mafanikio makubwa ndani na nje ya Tanzania Click to expand... Utaahira ni mzigo mkubwa sana yaani Simba Ina mafanikio ndani na nje ya Tanzania?
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 166,326 Reaction score 184,997 Jun 5, 2023 #4 Ahsante kwa taarifa...
Msudu JF-Expert Member Joined Aug 19, 2021 Posts 1,248 Reaction score 1,967 Jun 5, 2023 #5 Nilitamani huyu mwamba angebaki walau kwa msimu mmoja zaidi