Yaani mkuu tz mikoa yote mafuta unafuu wa bei ni mkoa wa tanga tuuTatizo sio mama kwa kuwa bei ilipanda soko la dunia ukichanganya na kodi siijui 15 kwenye mafuta lazima yawe bei juu
Suluhisho la kushusha bei za mafuta ni kujenga kiwanda cha kuchakata mafuta ghafi pale TANGA
Fursa hiyo ya kuchakata mafuta ya Uganda
Niko Dubai mkuu!asante tajiri wa mkoani
Nimeamka asubuhi nimeuliza nikaambiwa 2,660,nikauliza na gesi mtungi mkubwa nikaambiwa 55,000 nikasema sio mbaya nikaendelea na maisha yangumikoani liter hadi 2600 na point???View attachment 2029778
Nilikuwa siipendi passo ya wife Sasa tunanyang'anyana funguokutokana na hali ya uchumi ...mafuta yame panda bei vilivyo leo nimeamua kujinyima nikaweka mkebe wangu walau lita 10 za kupashia injini tuu kila baada ya siku saba lkn rasmi nimeamua kupak sitatumia tena gari labda ubber dala dala na boda boda mama samia suluhu unapo tupeleka wewe una jua.....
HahahaaaNilikuwa siipendi passo ya wife Sasa tunanyang'anyana funguo
Kwani yenyewe inatumia mafuta!!?Nilikuwa siipendi passo ya wife Sasa tunanyang'anyana funguo
kutokana na hali ya uchumi
Watu hawafanani yeye kazungumzia kwa upande wake...(yeye binafsi) duhHali ya uchumi ni kwako tu mkuu ,watu wanakula bata za hatari ,zunguka maeneo kila baada ya hatua 50 kuna mtu anaporomosha mansion.
Pitia Tabata baracuda ,40-40 mida ya usiku moja mbili tatu uone watu wanavyokula bata.