Rasimu ya Sera ya Gesi, Maoni yangu ya awali

Rasimu ya Sera ya Gesi, Maoni yangu ya awali

wenye macho tupieni tuone mahali pa kuweka sawa. huu ni urithi wetu
 
kazi nzuri Bw ZZK ya kututoa tongotongo.
My first reaction: hii rasimu kama haikusawidiwa Beijing basi itakuwa ilisawidiwa Washington, DC. Nina uhakika si JK wala washauri wake wameisoma kwa makini. Mojawapo ya suala la kufuatailia author ni nani? Tukipata jibu sahihi tutakuwa tumekata mzizi wa fitina.
 
Mkuu Zitto, nimeipost rasimu yenyewe hapa, ili kusaidia wachangiaji wajue nini kimo kwenye rasimu.

Mkuu Mtu wa Shamba si ungetuwekea kama attachment tuka download badala ya kuweka kama post.
Sera yenyewe kumbe imeandikwa kwa kiingereza! Kachenje na masopakyindi wa Newala na Masasi wataielewa kweli sera yenyewe? Wabunge wangapi wataielewa hii sera? Manake sera inaandikwa kama sheria vle na ukiwa unafahamu kiingereza cha please drink water hutaielewa na kutoa mchango wako kama alivyofanya ZZK. Jamani tuwatendee haki watanzania kwa kuwapa vitu ambavyo wanaviweza badala ya kuwahanikizia vitu ambavyo hawavifahamu! Watafasri basi hiyo rasmu ya sera na iende hadi vijijini.
 
Last edited by a moderator:
Sijui hii itakuwaje mali yetu ikiwa sera haiahinishi utafutaji na uchimbaji. Ina maana tunweka sera kwakitu tyutakachokuwa tumeuziwa/tumenunua. Ili kutuwezesha kumiliki kikamilifgu maliasili hii sera yetu inapaswa kuelekeza ni jinsi gani nchi yetu itahusika katika eneo hili na kuwa washiriki badala ya watazamaji!
 
Hii rasimu iwekwe kwa kiswahili kwanza ili wabunge waelewe lasivyo ndioooooo zitakuwa nyingi sana .
 
Hao tuachien sisi wana kusini,tutawafunza adabu tuh hawa,na tushaanza underground movements tokea mda mrefu sana,kwa sasa bado utekelezaji tuuhh
 
Sijaona kipengele kinachohusu endapo mwekezaji atauza kampuni kupitia mergers and aquisition, TPDC watakuwa wanaiwakilisha serikali ku negotiate kwenye suala la capital gains taxes. Hiki ni kichaka kingine cha ufisadi ambacho inabidi rasimu iweke wazi. Tumeyaona kupitia kampuni zingine, hatutaki liendelee tena.
 
Back
Top Bottom