Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,372
ni nzuri na imefanya vizuri kutoweka mambo ya serikali za majimbo ambayo yangeweza kutugawa
kweli kabisa
ni nzuri na imefanya vizuri kutoweka mambo ya serikali za majimbo ambayo yangeweza kutugawa
Pamekukuna wakati mambo yenyewe ni saba tu, na hayo mambo ya Tanganyika yatakuwa na mawaziri wangapi?
- IDADI YA MAWAZIRI
Inapendekezwa Rais aunde Serikali ndogo iliyo na Mawaziri wasiozidi kumi na tano na mawaziri hao wasiwe wabunge. Mawaziri hawatahudhuria vikao vya Bunge isipokuwa kama watahitajika kutoa ufafanuzi kwenye kamati za Bunge.
Hapa tu mimi pamenikuna!
Hiyo ni rasimu na yaweza kubaki hivyohivyo au yaweza kubadilishwa sana na yaweza kurudi kama ilivyokuwa awali yaani serikali mbili ya muungano na ya zanzibar.
Pamoja na yote lazima tuone mambo ya muungano ni yapi?
Me sijaelewa kidogo!kwahiyo kutakuwa na rais wa tanganyika,rais wa zanzbar na rais wa tanzania?au inakuwaje?
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Serikali za majimbo eti zitaleta utofauti mkubwa wa maendeleo, hivyo hazijapendekezwa ikiwemo gharama za uendeshaji.
Mbona mfumo uliyopo ndo umeleta utofauti mkubwa sana? Majimbo yawepo bhana yachuane kujipatia maendeleo. Tushuhudie watu wa kusini watakavyopiga kasi. Hapa tume ifikirie upya na wananchi tukomalie hoja hii ya majimbo.
Mi naona hata waziri mkuu asiwepo....Nashauri huku Tanganyika tuachane na urais, tuwe na waziri mkuu na atokane na uwiano wa kura/viti vya ubunge.
HIVI SASA, Ni matangazo ya moja kwa moja (live) kutoka ukumbi wa mikutano wa karimjee yakirushwa na TBC1. mgeni rasmi ni rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania JAKAYA MRISHO KIKWETE... KATIBA MPYA KWA TANZANIA YENYE NEEMA
TUFUATILIE