Kwaharaka haraka ninamashaka makubwa katika rasimu hii, maana mambo ya msingi yapo kimzahamzaha. jaji mkuu, Tume ya uchaguzi, chaguzi ndogo,nk
1. Jaji mkuu asiteuliwe na rais, aombe kazi na aajiliwe kama ajira zingine, kwasababu ndiye atakaye simamia haki endepo uchaguzi utakuwa na dosari, akiteuliwa atakosa mamlaka kamili na kutenda kwa kumfadhili aliyemteuwa.
2. kwanini kuwe na wabunge wawili akatika jimbo moja mwanaume na mwanamke hiyo gharama nani anagharamia na kwafaida ya nani?
3. kwanini nafasi ijazwe na chama husika badala yakuwa na uchaguzi? wananchi lazima wachaguwe kwa kuzingatia uwezo wa mbunge na chama kama sifa ya ziaada. Nafasi ya mgombea binafsi yanapotokea maafa iko wapi?
4. Tume ya uchaguzi lazima iwe huru, kwanini itajulikana na isijulikane sasa?
1. Jaji mkuu asiteuliwe na rais, aombe kazi na aajiliwe kama ajira zingine, kwasababu ndiye atakaye simamia haki endepo uchaguzi utakuwa na dosari, akiteuliwa atakosa mamlaka kamili na kutenda kwa kumfadhili aliyemteuwa.
2. kwanini kuwe na wabunge wawili akatika jimbo moja mwanaume na mwanamke hiyo gharama nani anagharamia na kwafaida ya nani?
3. kwanini nafasi ijazwe na chama husika badala yakuwa na uchaguzi? wananchi lazima wachaguwe kwa kuzingatia uwezo wa mbunge na chama kama sifa ya ziaada. Nafasi ya mgombea binafsi yanapotokea maafa iko wapi?
4. Tume ya uchaguzi lazima iwe huru, kwanini itajulikana na isijulikane sasa?