Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,917
- 30,030
Mwenye nyimbo aliyoshirikishwa juma nature jina nimelisahau ila nakumbuka chorus
'Tutoe adhabu gani juu ya hawa wanaoturoga*2,
Kuwa wanaoturoga tunaamini ni shetani,
Mwanga anaetutupia majini ni jirani,
Naiombeni waungwana.
Na nyingine ni ile mapato ya nature na bamboo wa kenya