Range Rover ikizeeka inakonda

Range Rover ikizeeka inakonda

Land cruiser hizo wanatumia vikundi vya kivita ni kwa ajili ya reliability, haihusiani na uwezo wa gari kuhimili mshtuko pale silaha inapopiga...

Hao wanaotumia LC hardtop kwenye masuala ya kivita ni kutokana na uimara, si kwa sababu ya kuhimilli mshtuko pindi silaha inapopiga au maroketi yanapopigwa....

70 series ni rahisi kutengeneza, vipuri vinapatikana kwa urahisi na inavumilia mazingira magumu..... hizo ni gari Toyota walitengeneza kubebea mizigo, Range Rover si gari ya kubebea mizigo, ni luxury SUV..


Nilichozungumzia mimi ni uimara wa gari kuhimili mshtuko wa silaha inapofyatuliwa kutoka kwenye gari.
Labda haukunisoma vizuri.
Land cruiser zote hata luxury suv type ya LC 300 na zinginezo zina uwezo wa kufungwa silaha nzito na zikahimili reaction force ya silaha inapofyatuliwa.
Kitu amacho katika land rover hukikuti.

Ila kuna defender za kubebea mizigo kaka.
 
Nilichozungumzia mimi ni uimara wa gari kuhimili mshtuko wa silaha inapofyatuliwa kutoka kwenye gari.
Labda haukunisoma vizuri.
Land cruiser zote hata luxury suv type ya LC 300 na zinginezo zina uwezo wa kufungwa silaha nzito na zikahimili reaction force ya silaha inapofyatuliwa.
Kitu amacho katika land rover hukikuti.

Ila kuna defender za kubebea mizigo kaka.
Land rover defender sio reliable kama LC hizo 70 series, lakini kubeba silaha zinabeba..

Sasa kiongozi silaha za kivita ufunge kwenye gari kama RR ambayo ni luxury, si utakuwa ni wehu?..

Machine gun kubwa hata kwenye passo inakaa, unafikiri ikifyatuliwa gari inapinduka?

Comfort, speed, interior, luxury, music system, multi terrain, technology, horse power n.k LC kazidiwa huko kote, LC kaizidi RR kwenye reliability....

i hate to love RR, sababu za reliability, lakini kiukweli imeizidi vingi tu LC, plus ukinunua ambayo haina mileage nyingi uta enjoy zaidi... Safari za mikoani inakwenda vizuri tu, tena safari ndefu.
 
Alhamdulillah


Wa IST hatujaletewa nongwa........🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Hahahahahahhhh
 
Land rover defender sio reliable kama LC hizo 70 series, lakini kubeba silaha zinabeba..

Sasa kiongozi silaha za kivita ufunge kwenye gari kama RR ambayo ni luxury, si utakuwa ni wehu?..

Machine gun kubwa hata kwenye passo inakaa, unafikiri ikifyatuliwa gari inapinduka?

Comfort, speed, interior, luxury, music system, multi terrain, technology, horse power n.k LC kazidiwa huko kote, LC kaizidi RR kwenye reliability....

i hate to love RR, sababu za reliability, lakini kiukweli imeizidi vingi tu LC, plus ukinunua ambayo haina mileage nyingi uta enjoy zaidi... Safari za mikoani inakwenda vizuri tu, tena safari ndefu.
Missile launcher na Rocket launcher huwezi kuzifunga kwenye passo mkuu abadan.

Aya bana ila for me Land cruiser is my priority.
 
Missile launcher na Rocket launcher huwezi kuzifunga kwenye passo mkuu abadan.

Aya bana ila for me Land cruiser is my priority.
Mkuu unamiliki hio LC300? Kuna mmiliki mmoja wa LC300 alionesha garage yake ilikuwa na LC300,G Wagon,Bentley na RR. Kwenye hio list alisema imeharibiwa na takataka moja LC300. Sisemi kuwa LC300 ni takataka hata mini naipenda sana.
 
Missile launcher na Rocket launcher huwezi kuzifunga kwenye passo mkuu abadan.

Aya bana ila for me Land cruiser is my priority.
Hukuwahi kuona robot dogs wanafanyiwa test wakiwa na rocket launcher

images


Rocket launcher/missile launcher hata mtu anaweka begani, MANPADS...

Gari ndogo ina handle vizuri sana hizo silaha..

Pamoja sana mkuu...
 
Hukuwahi kuona robot dogs wanafanyiwa test wakiwa na rocket launcher

images


Rocket launcher/missile launcher hata mtu anaweka begani, MANPADS...

Gari ndogo ina handle vizuri sana hizo silaha..

Pamoja sana mkuu...
Hizi ni rocket propelled grunade.
Sio rockets zinazobeba heavy explosions kama za Multi launchers.
Bro unajua uzito wa Multi launcher rocket system kama Bm-30 Smerch!?
Ile ndio uiweke begani!??
Kitu kinabeba explosive warhead ya kilo 500+!?
Missile system huwezi iweka begani bro.
Yani mfumo wa kombora uuweke begani au kwenye gari ndogo!?
Hiyo uliyoleta ni form of RPG mie sizungumzii hiyo.
 
Mkuu unamiliki hio LC300? Kuna mmiliki mmoja wa LC300 alionesha garage yake ilikuwa na LC300,G Wagon,Bentley na RR. Kwenye hio list alisema imeharibiwa na takataka moja LC300. Sisemi kuwa LC300 ni takataka hata mini naipenda sana.
Similiki mkuu ila nina ndoto ya kumili gari aina yeyote ya Land cruiser. Ila naendesha ya mtu.
Kwa mimi nazihusudu sana gari aina hii. Yani zipo moyoni.
 
Hizi ni rocket propelled grunade.
Sio rockets zinazobeba heavy explosions kama za Multi launchers.
Bro unajua uzito wa Multi launcher rocket system kama Bm-30 Smerch!?
Ile ndio uiweke begani!??
Kitu kinabeba explosive warhead ya kilo 500+!?
Missile system huwezi iweka begani bro.
Yani mfumo wa kombora uuweke begani au kwenye gari ndogo!?
Hiyo uliyoleta ni form of RPG mie sizungumzii hiyo.
Kama LC 300 ina handle , RR haiwezi kushindwa. Sema tu ni matumizi mabaya ya pesa na akili kufunga rocket launcher kwenye gari luxury kama hio.

Ndio maana hao jamaa vitani wanatumia zaidi hizo Land cruiser 70 series..
RR ipo comfort zaidi kuliko 70 series, 70 series ipo reliable zaidi, nafuu katika kuitunza n.k..

RR top models inazizidi comfort LC zote ambazo ni top models kwenye comfort... Kama ina comfort ina maana hizo launcher inazihimili kuliko LC.

Tatizo ni reliability na gharama za uendeshaji...

Mfano G wagon ni SUV ina stamina kuliko LC, je ulishaona mara ngapi wanazitumia vitani? Kwanza ni gharama kiendeshaji, vipuri vyake ni ghali, gari yenyewe ni ghali na kingine sio reliable kama Land cruisers....

ipo hivyo..
 
Kama LC 300 ina handle , RR haiwezi kushindwa. Sema tu ni matumizi mabaya ya pesa na akili kufunga rocket launcher kwenye gari luxury kama hio.

Ndio maana hao jamaa vitani wanatumia zaidi hizo Land cruiser 70 series..
RR ipo comfort zaidi kuliko 70 series, 70 series ipo reliable zaidi, nafuu katika kuitunza n.k..

RR top models inazizidi comfort LC zote ambazo ni top models kwenye comfort... Kama ina comfort ina maana hizo launcher inazihimili kuliko LC.

Tatizo ni reliabilitybna gharama za uendeshaji...

Mfano G wagon ni SUV ina stamina kuliko LC, je ulishaona mara ngapi wanazitumia vitani? Kwanza ni gharama kiendeshaji, vipuri vyake ni ghali, gari yenyewe ni ghali na kingine sio reliable kama Land cruisers....

ipo hivyo..
Land rover ina gari za defender ambazo hutumika kwa kazi ngumu.
Achana na toleo la Range rover.
Zilijaribiwa ila zikashindwa kuhimili reaction force ya kombora likifyatuliwa.
Land rover defender mkuu iliyoundwa kwa kazi ngumu ishindwe iweze Rang rover!??
 
Land rover ina gari za defender ambazo hutumika kwa kazi ngumu.
Achana na toleo la Range rover.
Zilijaribiwa ila zikashindwa kuhimili reaction force ya kombora likifyatuliwa.
Land rover defender mkuu iliyoundwa kwa kazi ngumu ishindwe iweze Rang rover!??
Serikali ilitumia sana defender miaka ile , kuanzia idara ya maji hadi polisi hadi leo watu gari za polisi wanaita defender japo ni LC... baadae wakahamia kwenye hizo 70 series, 70 series ni reliable kuliko defender, hivyo defender gharama za uendeshaji zilikuwa juu.

Kuhusu ku handle rocket launcher sijawahi kufuatilia hilo...

Lakini elewa tu maana ya gari kuwa na comfort, RR ni nzito zaidi kuliko hio 70 series...

Land cruiser haiwezi kuizidi stamina na comfort RR, uliza hata chatgpt au soma mtandaoni... mapenzi yako na LC yasikufanye uamini kitu ambacho hakipo...
 
Serikali ilitumia sana defender miaka ile , kuanzia idara ya maji hadi polisi hadi leo watu gari za polisi wanaita defender japo ni LC... baadae wakahamia kwenye hizo 70 series, 70 series ni reliable kuliko defender, hivyo defender gharama za uendeshaji zilikuwa juu.

Kuhusu ku handle rocket launcher sijawahi kufuatilia hilo...

Lakini elewa tu maana ya gari kuwa na comfort, RR ni nzito zaidi kuliko hio 70 series...

Land cruiser haiwezi kuizidi stamina na comfort RR, uliza hata chatgpt au soma mtandaoni... mapenzi yako na LC yasikufanye uamini kitu ambacho hakipo...
Kitu kipi ambacho hakipo??
Au ni huelewi nini nazungumzia kaka?
Defender imetumika idara ya polisi sio jeshini.
Land cruiser unaweza ukatumia kwa matumizi ya jeshi.
Tusibishane nenda ukafuatilie.
Jeshi la Houthi lina land cruiser kibao kwa matumizi ya jeshi na suala sio kuhusu uendeshaji bali nj ugumu wa gari.
Kiufupi Land cruiser pickup ni HARD BODY.
Point yangu ipo hapo.
Ndio maana kule nilitoaga mfano,izamishe hizo RR zako kwenye tope kubwa uone kama zitatoboa tena zikiwa na mzigo mzito nyuma.
Ila land cruiser inatoboa.
POINT YANGU IPO HAPO.
Hayo masuala ya luxury baki nayo mwenyewe.
Maana kwa mimi nikitaka luxury car nitaenda kwa mercedes.
 
Kitu kipi ambacho hakipo??
Au ni huelewi nini nazungumzia kaka?
Defender imetumika idara ya polisi sio jeshini.
Land cruiser unaweza ukatumia kwa matumizi ya jeshi.
Tusibishane nenda ukafuatilie.
Jeshi la Houthi lina land cruiser kibao kwa matumizi ya jeshi na suala sio kuhusu uendeshaji bali nj ugumu wa gari.
Kiufupi Land cruiser pickup ni HARD BODY.
Point yangu ipo hapo.
Ndio maana kule nilitoaga mfano,izamishe hizo RR zako kwenye tope kubwa uone kama zitatoboa tena zikiwa na mzigo mzito nyuma.
Ila land cruiser inatoboa.
POINT YANGU IPO HAPO.
Hayo masuala ya luxury baki nayo mwenyewe.
Maana kwa mimi nikitaka luxury car nitaenda kwa mercedes.
Mzee sijui tunabishana kitu kipi, na sielewi kipi huelewi, mimi sina hisa Land Rover, na sio kwamba nikisifu panapostahili kusifiwa kwenye RR nitalipwa mshahara, karibu kila post ninayoandika hapa nakuambia kabisa LC inaizidi RR reliability, hilo nalisema kila muda.

SIku LC wakitengeneza gari ambayo ina tech ya juu, ipo complex kwenye electronics na mechanical elewa haiwezi kuwa reliable kama ilivyo sasa.

LC hakuna mtu amekataa kwamba ni reliable, lakini kuhusu horsepower, speed, luxury kuanzia muziki, interior n.k LC haiwezi kufikia huko, hilo lipo wazi kiongozi, kaka huwezi linganisha RR sport SV au autobiography na LC...

Ukilinganisha kwenye reliability LC anatoka mshindi, ukilinganisha kwenye luxury, comfort, speed LC haiwezi izidi RR...

Kingine Range rover wana matoleo mengi , wana model na trims nyingi, ni wewe tu kujichagulia tokana na matumizi, Land ROver ni wakali wa kuteneneza SUVs, hujawahi kusikia hata siku moja wanatengeneza Sedan, wamewekeza heavily kwenye SUVs...

Hata rolls royce wametoa SUV yao ya kwanza ndio kama ile Diamond anayo, nachomaanisha Land rover wana uzoefu mkubwa wa kutengeneza SUVs, wao wana focus kwenye innovation na luxury, hawa focus kwenye reliability.

Na unapozungumzia kuizamisha gari kwenye tope, ingia youtube tazama hizo SUVs zikishindanishwa , binafsi sijawahi kuona kwa macho live zikishindanishwa... maana RR wana toleo lao la RR(full size) ambayo huwa ina uwezo mzuri tu unaoridhisha wa off road ukiachana na sport SV, sport n.k

Lakini LC itabaki kuwa gari imara, reliable, yenye uwezo mkubwa wa kuvumilia mazingira magumu hata uki i abuse...

RR inabaki kuwa gari yenye tech ya juu, speed, comfort, luxury ....

Hivyo kila kampuni iliamua ku focus kivyake na wote wanapaa wateja. Ni wewe mteja sasa kuchagua unataka wapi..

Technology kama Matrix LED/pixel LEDs headlights kwenye Range Rover, taa ya mbele inakuwa na taa ndogo ndogo ambazo baadhi zinaweza kujizima na baadhi zikawaka kama high beam...

Hivyo kama kuna gari mbele inakuja na unaendesha Range Rover, hata kama umewasha full light huwezi kumuumiza macho dereva wa gari inayokuja mbele yako, maana RR itaona hio gari, itazima taa zinazoimulika ile hio gari na kumulika barabara pekee... hivyo dereva mwingine hawezi dhurika na mwanga wa gari lako...

Huo mfumo umeunganishwa na computer pamoja na camera, hivyo gari inatambua kama ni boda inakuja, inazima upande wa hio boda ili kutomuumiza macho, then inawasha sehemu zingine zote za barabara...

Hivyo Unapoambiwa RR ina tech za juu inabidi uelewe.. kila part ya RR unayogusa ipo complex...
Tech hio inaepusha ajali, ni kitu cha kawaida lakini kwenye RR wamejali...



Screen-Shot-2019-07-15-at-11.27.59-AM.png


HUjazungumzia Active Noise Cancellation, terrain response 2, wading sensor(sensor za kupima kina cha maji gari inapozama kwenye maji), all wheel steering na takataka zingine nyingi...

Hivyo elewa RR wamewekeza sana kwenye tech.

Tchao.
 
Tembo ni tembo tuu hata akonde vipi hawezi kuwa Kama sungura🤣🤣🤣🤣🎶🎵🎶🎵
 
Back
Top Bottom