FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,066
- 40,725
Lina engine ya umeme au fossil fuels?
Watu wanaogopa tu Range Rover zipo za engine mdogo mpaka CC2700 diesel engine. Wao wenyewe ni wafanyabiashara.
Jamaa mzee wa mapweint.hahahahaha Aisee umeongea pweint kubwa Sana!
Naunga mkonyo hoja!
HahhaahhaaWanaume wa zamani walikuwa wakiuza Figo ili wapate pesa. Wa siku hizi wanauza tigo.
Fan cargo sio gariAisee hizi gari sio zakuzifuatisha, mana kila inayotoka ni nzuri zaidi ya mwanzo,, as long as una kibebeo chako cha kukutoa point A kukupeleka point B kwenye mitikasi inatosha hata kama ni kifan cargo,,
Nenda kwa bwana Joho hapo Mombasa atakupa maelekezo😅Mmmh pesa nayo ngumu kuipata Sasa sijui nifanyaje?
🤔🤔🤔🤔
Ninunue gari kama hii kisha boda boda akwangue rangi.......
Masikini kama sisi lazima tujikubali au sio!!?Aisee hizi gari sio zakuzifuatisha, mana kila inayotoka ni nzuri zaidi ya mwanzo,, as long as una kibebeo chako cha kukutoa point A kukupeleka point B kwenye mitikasi inatosha hata kama ni kifan cargo,,
Hahahahahaha unatafuta ugomvi na Mzee wa Nai Nai au sio, utakuja upigwe vitasa kufuatilia mambo ya watu ooohoooo,Nenda kwa bwana Joho hapo Mombasa atakupa maelekezo😅
Unachotakiwa ni kubetiMmmh pesa nayo ngumu kuipata Sasa sijui nifanyaje?
🤔🤔🤔🤔
Labda nibeti mieleka Sasa itakuaje John Cena na the rock washastaafu hiyo michezo walibaki wote wanakumbatiana tu ulingoni muda wowote wataweza kukuchania mkeka!Unachotakiwa ni kubeti
Sio kwa Johnny Morrisonwalibaki wote wanakumbatiana tu ulingoni
hahahahahaha naona una unawabip vyura,subiri kelele zao maana naona umemisi kupopolewa mawe!sio kwa JOhnny Morrison
mbona starlet zipo mzee achq kujipa stressMmmh pesa nayo ngumu kuipata Sasa sijui nifanyaje?
Kazi ya insurance ni nini?Ninunue gari kama hii kisha boda boda akwangue rangi.......
si nitapasua ubongo wake kwa gun!
Insurance inakuja badae wakati nimeshaua mtu...Kazi ya insurance ni nini?
Na wamiliki wengi wa hayo magari wanakaa sehemu hakuna bodaboda hata kama wapo ni wale bodaboda wenye akili timamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waganga wapo unakatwa mkono mmoja Tu unapata hela ukiwa hutaki uwe unakaa na chatu unakula nae Chakula pesa unapataNenda kwa bwana Joho hapo Mombasa atakupa maelekezo
Weka bei mkuu...Unataka moja? Mkoani tunasafirisha karibu tukuhudumie