RAMLI CHONGANISHI ni zipi?

blessings

JF-Expert Member
Jul 9, 2012
6,983
6,237
Wajameni naomba kujuzwa hivi maana halisi ya neno RAMLI CHONGANISHI ni nini? Maana hivi karibuni umekuwa msemo maarufu kwenye vyombo vya habari hususani kwenye kanda ya ziwa. Waganga wanaambiwa wanapiga RAMLI CHONGANISHI!!!!
 
Wajameni naomba kujuzwa hivi maana halisi ya neno RAMLI CHONGANISHI ni nini? Maana hivi karibuni umekuwa msemo maarufu kwenye vyombo vya habari hususani kwenye kanda ya ziwa. Waganga wanaambiwa wanapiga RAMLI CHONGANISHI!!!!

Mkuu blessings na wewe imekukera kama mimi? Angalia kichwa cha habari nimebandika saa 2:38 usiku huu. Unaonaje tuunganishe hii mada iwe moja?
 
Last edited by a moderator:
Malyenge nimeona uzi wako baada ya kubandika wangu, moderator waunganishe.. Hizi term aisee zinakera kupiga RAMLI tu ni uchonganishi tosha. Watanzania tuachane na mambo ya Waganga tufanye kazi kwa bidii. Nilipata Aibu nilikwendaga South Africa/ Joburg pale IMMIGRATION nawe ni MGANGA WA KIENYEJI toka TZ maana ndo wamejaa South Africa.
 
Back
Top Bottom