RAMLI CHONGANISHI ni zipi?

RAMLI CHONGANISHI ni zipi?

SSH2025_2030

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
9,661
Reaction score
9,797
Wajameni naomba kujuzwa hivi maana halisi ya neno RAMLI CHONGANISHI ni nini? Maana hivi karibuni umekuwa msemo maarufu kwenye vyombo vya habari hususani kwenye kanda ya ziwa. Waganga wanaambiwa wanapiga RAMLI CHONGANISHI!!!!
 
Wajameni naomba kujuzwa hivi maana halisi ya neno RAMLI CHONGANISHI ni nini? Maana hivi karibuni umekuwa msemo maarufu kwenye vyombo vya habari hususani kwenye kanda ya ziwa. Waganga wanaambiwa wanapiga RAMLI CHONGANISHI!!!!

Mkuu blessings na wewe imekukera kama mimi? Angalia kichwa cha habari nimebandika saa 2:38 usiku huu. Unaonaje tuunganishe hii mada iwe moja?
 
Last edited by a moderator:
Malyenge nimeona uzi wako baada ya kubandika wangu, moderator waunganishe.. Hizi term aisee zinakera kupiga RAMLI tu ni uchonganishi tosha. Watanzania tuachane na mambo ya Waganga tufanye kazi kwa bidii. Nilipata Aibu nilikwendaga South Africa/ Joburg pale IMMIGRATION nawe ni MGANGA WA KIENYEJI toka TZ maana ndo wamejaa South Africa.
 
Mada za namna hii zina mwelekeo fulani, utaona walo o e wakija hapa
 
Watanzania ni viumbe wa ajabu kuwahi kutokea duniani
 
Back
Top Bottom