rambirambi

rambirambi

Sugi

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
1,392
Reaction score
295
hivi rambirambi ya marehemu Osama Bin Laden,inatolewa wapi?na maziko yake yatafanyikia wapi?kama kuna mtu anayecoordinate masuala ya usafiri wa kwenda msibani tuwasiliane kama vp!
 
hivi rambirambi ya marehemu Osama Bin Laden,inatolewa wapi?na maziko yake yatafanyikia wapi?kama kuna mtu anayecoordinate masuala ya usafiri wa kwenda msibani tuwasiliane kama vp!
Hahaha! Wameitupa baharini kukwepa watu kama wewe lol!
 
kwa hiyo wamepoteza historia ya osama?

hawana jipya,marekani na sifa zake zote zile asingeweza kumzika osama fasta vile,c uliona alivyofanaya kwa sadamu?kila kitu kilikuwa waz,inawezekana osama alishajifia zake longi kwa kipindupindu
 
hivi rambirambi ya marehemu Osama Bin Laden,inatolewa wapi?na maziko yake yatafanyikia wapi?kama kuna mtu anayecoordinate masuala ya usafiri wa kwenda msibani tuwasiliane kama vp!

|Subiri matamko yakitaka bendera zipepeee nusu mlingoti!
 
Sheikh Yahya pale Magomeni ndiye mratibu na mwenyekiti wa kamati ya mazishi kapewa heshima hiyo baada yakufanikiwa kutabiri kwa ufasaha yaliyomsibu Osama RIP Or RIp's
 
Back
Top Bottom