Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,851
- 16,748
Take ekshen against me...I don't take ekshen against people like you generally..
Majibu ya Zuma haya haaaaa
Take ekshen against me...I don't take ekshen against people like you generally..
Honorable medem speaker may... Honorable Malema seat down or am gonna shut ur mic... Ahh chawuke bana ulaba poso ilaba poso man from North West..He must answer the question.....
Your current mkuu is far from being leadership material, East to WestHe is the most frustrated person, however I do believe he is a good lawyer and well versed with law.
Unfortunately he is not leadership material, he will worst than All current and past leaders
Mnafiki aliyekula hela za acacia. Mnafiki aliyejileteleza kichapwa risas na dj ili wazue taharuki. Vitu vya Malema vinaonekana, hana mkono wa wazungu, lakini siyo wanafiki wa bongo mnajidai wapinzani mchana usiku mnapiga simu kwa maadui zetu wanawapa hela kuiangamiza Tz.Tundu Antiphas Lissu ndio Malema wa Tanzania..
Ni jasiri na hana woga katika kusimamia UKWELI.
cdm kilishakufa kitambo. Tz ni CCM CCM CCM. CCM CCM CCM CCM CCM CCMNa CDM yake ndiyo EFF ya TZ?
Nani amemkosoa aliyeuza nyumba za serikali na kupora mke wa mtu na kumpa uwaziri kisa cheupe dawaMalema unamjua au unamsikia?
Malema alikuwa anakosoa na kupinga ubadhirifu na ufisadi kwenye chama chake
Ulisikia lini Tundu lissu anamlaani Mbowe kwa kutafuna wake za watu au kujilipa ruzuku yote yeye
Ila sizonje ndio hovyoooo zaidi..bora mara elfu mia saba lissuHe is the most frustrated person, however I do believe he is a good lawyer and well versed with law.
Unfortunately he is not leadership material, he will worst than All current and past leaders
Ndio upeo wako wa kufikiri ulipoisha hapoNani amemkosoa aliyeuza nyumba za serikali na kupora mke wa mtu na kumpa uwaziri kisa cheupe dawa
Wewe mbwa kwenye andiko lako mbowe ameingiaje???Na wakati linahusu malema na lissu??Ndio upeo wako wa kufikiri ulipoisha hapo
Hapa tunamzungumzia Malema na Lissu wewe unaleta habari za vijiweni nenda kwa Mange huko mpo wengi tu
HahahahaHonorable medem speaker may... Honorable Malema seat down or am gonna shut ur mic... Ahh chawuke bana ulaba poso ilaba poso man from North West..He must answer the question.....
Kushinda inaweza ikashinda 2019 ila haitafikisha 50% Na hapo ndio coalition. Malema anawanyima jamaa usingiziBraza ANC sidhani kama inakufa imekuwa weak kdogo lakini haifi
Kuna tofauti kati ya ukali na ukatiliHuyu hawezi kuwa kiongozi kwani ni mkali kumshinda magufui, huyo anafunga hata NZII watakaotuwa kwenye chakula au mwili wake. Anapendeza mahakamani na umahamasishaji.
Not a leader at all.