Ramani: Mataifa yenye uhusiano mzuri na Israel

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,738
48,595
Huku mataifa yanayoongozwa na chuki za kidini yakitaka Wayahudi wauawe na Israel ifutwe kwenye ramani ya dunia, kuna idadi kubwa sana ya mataifa yanayotambua haki ya Wayahudi kuishi dunia hii.

Kuna machache yamesitisha uhusiano kama mbinu ya kulalamika kwa jinsi Israel inatembeza kichapo pale Gaza.

Kwa hiyo, wale mnaosema humu kwamba ipo siku Wayahudi watafutwa duniani kisa mliaminishwa kwenye vitabu vyenu vya dini, hilo haliwezekani, dunia inatambua uwepo wa Israel, inatambua haki ya Wayahudi ya kuishi, na hata mkijilipua mabomu mara ngapi, bado mtakufa nyie na kuwaacha Wayahudi wakiendelea kuishi.


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…