Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,865
- 3,798
Tanzania tumekumbwa na kasumba ya kuwahusudu sana wachezaji wa kigeni na kuwadharau wachezaji wa ndani. Mfano wa wachezaji mwenye kipaji kikubwa kisichozingatiwa ni Kichuya. Ni mchezaji ambae anawazidi ubora wachezaji wengi wa kigeni. Nimemfuatilia mara kadhaa,Km shabiki wa Yanga endapo ikitokea napewa chaguo la kuchagua kati ya Kichuya na Moloko nichague yupi mimi namchukua Kichuya.
Kwanini? Kichuya ana speed,dribbling yake iko vizuri,anamikimbio hatari,anauwezo wa kupiga pasi za mwisho na hata kufunga. Siona sababu ya yeye kuendelea kucheza Namungo. Kichuya level zake ni Simba,Yanga au Azam. Najiuliza mchezaji km Chiko Ushindi kapataje nafasi ya kucheza Yanga km si mambo ya michongo!! Hana maajabu yoyote?!
Kwanini? Kichuya ana speed,dribbling yake iko vizuri,anamikimbio hatari,anauwezo wa kupiga pasi za mwisho na hata kufunga. Siona sababu ya yeye kuendelea kucheza Namungo. Kichuya level zake ni Simba,Yanga au Azam. Najiuliza mchezaji km Chiko Ushindi kapataje nafasi ya kucheza Yanga km si mambo ya michongo!! Hana maajabu yoyote?!