Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,053
- 15,515






Sasa mkuu Tumsikilize Mufti au Kadhi Mkuu
Ni kutoka kwa Kadhi Mkuu .






Sasa mkuu Tumsikilize Mufti au Kadhi Mkuu
Ni kutoka kwa Kadhi Mkuu .
Sasa mkuu Tumsikilize Mufti au Kadhi Mkuu
Kadhi kaongea kwa niaba ya Mufti Sheikh wangu...tusichanganye na taarifa ya mufti wa Kenya aliyesema Jumatatu mfungo unaanza.
Kwa sababu unaongelea habari za Mufti kwa hiyo unamaanisha ni Official Toka Bakwata?

Naomba niishie hapo kwenye "Kadhi kazungumza kwa niaba ya Mufti"








. Sheikh hebu niweke sawa nisije ipoteza Funga yangu
Naomba niishie hapo kwenye "Kadhi kazungumza kwa niaba ya Mufti"
Kwani Masufi wa Tanzania tu ndio mna tarehe zenu ?Tunakamilisha mwezi wa Shaaban 30... Hivyo tarehe 1 Ramadhan NI J4.
Karibu Mpendwa tuSumu sawmun Thelathin.
Makafiri.Duu mkifunga kitimoto watakula kinanani sasa
"Waeyaka" shukraan jazeelan.. For a Muslim Kuna mawili tu, aidha awe akisema Mema au anyamaze (thawabu)Mhhhh,,!!!
Mkuu haya maneno ni mazito saana na yamenigusa saana
JazaaQallah kheyr![]()
Ivi mshaachana kutibuana Mavi KANISANI?Duu mkifunga kitimoto watakula kinanani sasa