Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,224
- 12,945
Kuwa na akili naww! Ujenzi gani wa kiwanda utafanyika kwa miezi 8?Inamaana kipindi chote cha JPM alikuwa anaangaishwa? Na yule aliyedhulumiwa na kufungiwa biashara kariakoo, na TRA, JPM aliagiza alipwe na fidia, kwa wajuao alilipwa? H5, hatari sana!