Ramadhan kareem: Punguzo la bei huduma za Solar

Ramadhan kareem: Punguzo la bei huduma za Solar

SNL SOLAR LTD

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2015
Posts
205
Reaction score
26
SNL SOLAR LIMITED INAKUPATIA PUNGUZO LA KUTOSHA KWENYE HUDUMA ZAKE NA BIDHAA ZAKE KATIKA KIPINDI HIKI CHA MFUNGO (RAMADHAN KAREEM).
BIDHAA BORA ZA SOLAR, HUDUMA BORA YA BACKUP ZA UMEME PAMOJA NA SOLAR SYSTEMS.
WARRANTY YA MWAKA MZIMA NA FREE SERVICE MWAKA MZIMA.
TUPO KINONDONI VIJANA, KWA MAWASILIANO ZAIDI 0714373488/0762246488

INSTAGRAM @snlsolarltd

TUNAWATAKIENI MFUNGO MWEMA
 
SNL SOLAR LTD inakupatia Panels za aina zote na tunakupa warranty ya MIAKA 10.
Tupo Kinondoni Vijana kwa mawasiliano wasiliana nasi 0714373488/0762246488
PIA HUDUMA ZETU ZOTE ZA SOLAR PAMOJA NA BACKUP ZA UMEME NI BORA NA GHARAMA ZETU NI NAFUU.
VIFAA VYOTE VYA SOLAR PAMOJA NA FRIDGE, TAA NA FAN ZA SOLAR VIPO.

hUDUMA ZETU NI TANZANIA NZIMA POPOTE ULIPO TUNAKUFIKIA

Panel.PNG Panel.PNG
 
Solar Water Heater zinapatikana kwa warranty ya kutosha.
Okoa gharama ya umeme zaidi ya 65% kwa kutumia solar water heater zenye ubora wa hali ya juu.
SNL SOLAR LTD Tupo kinondoni vijana.
Wasiliana nasi 0714373488/0762246488

megasum.PNG
 
Kipindi cha masika maeneo ya Arusha, Kilimanjaro, Iringa, Mbeya nk jua linachomoza kwa nadra sana. Sasa hizi sola zenu zinafaa kutumika maeneo kama hayo?
 
Zina uwezo wa kuchemsha lita ngapi za maji kwa mara moja?

Unapoamka asubuhi utapata maji moto?
 
SNL SOLAR LTD inakupatia Inverter Bora za Fortuner zenye ubora wa hali ya juu kwa gharama nafuu na warranty ya Mwaka mzima. Tunakufikishia kwa popote ulipo Tanzania.
Wasilaiana nasi 0714373488/0762246488
Tupo Kinondoni Vijana Dar es Salaam.

Fortuner.PNG Fortuner.PNG
 
Kipindi cha masika maeneo ya Arusha, Kilimanjaro, Iringa, Mbeya nk jua linachomoza kwa nadra sana. Sasa hizi sola zenu zinafaa kutumika maeneo kama hayo?
Zinafanya kazi na tunamshauri mteja kutumia panels za MONO coz ndio nzur kwa sehem zenye uhaba wa jua zenyewe znauwezo mzuri wa kuvuta nguvu za jua
 
Zina uwezo wa kuchemsha lita ngapi za maji kwa mara moja?

Unapoamka asubuhi utapata maji moto?
kuna zenye ujazo tofauti kuanzia lita 100 mpaka lita 300..... ndio unayapata ya moto
 
mkuu.. water heater yenye capacity ya 300 litres ni bei gani? naomba quote ya
- water heater
- circulation pump
- labour charge ya kufunga...

asante..
waweza ku ni PM
 
Back
Top Bottom