Tetesi: Rajoelina wa Madagascar amepinduliwa na jeshi

Tetesi: Rajoelina wa Madagascar amepinduliwa na jeshi

Huihui2

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
9,009
Reaction score
13,539
20251012_124627.jpg

BREAKING NEWS:
Jeshi la Madagascar limetangaza mapinduzi na limesimamisha katiba na kumwondoa madarakani Rais Andry Rajoelina kufuatia maandamano yaliyokuwa yakiendelea.

Kitengo maalumu cha CAPSAT (ambacho kilimweka Rajoelina madarakani katika mapinduzi ya mwaka 2009),kilimsaliti Rajoelina mnamo Oktoba 11, kikijiunga na waandamanaji wa kizazi cha Gen Z Madagascar huko Antananarivo. Askari waliendesha magari ya kivita hadi katika Uwanja wa Mei 13, bila kuwashambulia waandamanaji, huku Kamanda Lylison René de Rolland akipata uungwaji mkono.

Maandamano, yaliyoanzishwa na uhaba wa umeme na maji, yanakemea ufisadi na umaskini unaoathiri asilimia 75% ya raia milioni 32 . Yakadiriwa watu 22 wamekufa, na 100 kujeruhiwa kulingana na ripoti za UN. Rajoelina, aliyekuwa amejificha na wafuasi wake, alishutumu foreign intervention ; ripoti zinathibitisha kuwa kishakimbia kutoka mji mkuu. Jeshi sasa linashikilia mamlaka.
 
Hizi ripoti yule mama wa nyinyinywi nywanywanya zitakuwa zinampeleka sana toileti maana tumbo lazima livuruge Kila akizisoma na akiziona kwenye News.

Za ndaaani kabisa,madogo wa gen Z wanaingia kwa wingi daslamu kutoka mikoani.

Tanzania is next.
 
Hizi ripoti yule mama wa nyinyinywi nywanywanya zitakuwa zinampeleka sana toileti maana tumbo lazima livuruge Kila akizisoma na akiziona kwenye News.

Za ndaaani kabisa,madogo wa gen Z wanaingia kwa wingi daslamu kutoka mikoani.

Tanzania is next.
😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom