Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Kweli kabisa The Boss mbele ya mafisadi wa Magamba hakuna mwenye ubavu wa kuwabishia...yaaaani hiii ndo home of great thinkers sio??????
hatuwezi hata jadili watu kwa data?
bila jazba na emotions?????
hivi huyo kiravu alikuwa na ubavu wa kufanya kingine chochote
na maagizo ya wakubwa wake?????
tunamshambulia mtu asiye na hatia
yeye kama alivyo mwenyekiti wa tume ya uchaguzi
hawana ubavu wa kuibishia ccm
yuko wapi tido mhando?????????