rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,439
wakuu naomba sana mnisaidie nimfahamu mtu anaitwa rajabu kiravu,
huyu bwana alikuwa mkurugenzi wa tume ya uchaguzi,
kwa jinsi alivyokuwa akiongea nilishindwa kumwelewa kwa sababu anaongea haraharaka sana,
nahisi kuna siri nzito moyoni mwake,
ni kabila gani,dini gani,naomba nisieleweke vibaya,elimu yake?
asanteni wazee
huyu bwana alikuwa mkurugenzi wa tume ya uchaguzi,
kwa jinsi alivyokuwa akiongea nilishindwa kumwelewa kwa sababu anaongea haraharaka sana,
nahisi kuna siri nzito moyoni mwake,
ni kabila gani,dini gani,naomba nisieleweke vibaya,elimu yake?
asanteni wazee