GE2025 Rajab Nyangasa: Wanao hamasisha maandamano ni washamba na wana Roho mbaya

GE2025 Rajab Nyangasa: Wanao hamasisha maandamano ni washamba na wana Roho mbaya

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mafyangula

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2025
Posts
505
Reaction score
887
Watanzania wamechoshwa na yanaendelea ndio maana wanatafuta haki na maisha mazuri kwa njia ya maandamano.

So wewe unapambania maslai yako kama wa Tanzania wanavyopambania. So na wewe acha ushamba na uchawa
=============

Kada Wa Chama Cha Mapinduzi Rajab Nyangasa Akiwaonya Wanao hamasisha Maandamano na Kusema kuwa ni Washamba na Wana Roho mbaya Dhidi ya Watanzania

Nyangasa Amesema Hayo Alipokuwa Kwenye Kampeni za Uchaguzi Akimuombea Kura Mgombea Udiwani Kata ya Sandali - Temeke Ndugu Mrisho Hassan Kamba.

 
Kama ni washamba hofu inatoka wapi?!
Mwalimu Nyerere alisema mnyonge hana cha kupoteza zaidi ya unyonge wake.
 
Hizo nyumba kama mabanda ya kuku hapo nyuma yake ziko Dar es Salaam??
 
Back
Top Bottom