Raisi Samia hizi sifa umekubaliana nazo?

Si alishasema yy na jiwe ni kitu kimoja!

Mama Samia kwa kusema hivyo alikuwa anafanya siasa tu ingekuwa kweli wale wote waliotemwa na JIWE kama hawafai na wengine wakiitwa mafisadi na kufanyiwa uchunguzi na TAKUKUKURU , Mama asingewateua kwenye serikali yake!!

Prof.Mbarawa na Amosi Makalla walitemwa na JIwe lakini mama amewarudisha; yule alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa National Housing sasa ameteuliwa kuwa kwenye bodi ya TANESCO na hata huyo aliyemteua kuwa Mwenyekiti wa bodi ya TANESCO somebody MOHAMED ISSA mradi wake uliokuwepo enzi ya mkwere [BEST RESULTS NOW] Jiwe alipoingia madarakani aliufuta!!! Kalemani na yule wazirri wa uchukuzi ambao ndio walikuwa majembe ya Jiwe ,mama amewatema!!! She is trying to curve her own legacy!!
 
Moja ya kitu ambacho kulikuwa cha kushangaza ni pale katika awamu iliyopita viongozi kutoa sifa kwa Rais ambazo zilipitiliza. Hii imekuwa tabia ya muda mrefu sana Rais kusifiwa kupitiliza na watendaji wake.

Bahati mbaya kabisa maraisi huridhia na kukubaliana na hizo sifa, lakini ukweli ni kuwa wanaosifia hawamaanishi. Watu wanasifia kwa lengo la kuwa karibu na Rais na kulinda nafasi zao.

Wameanza tena kwa speed kubwa awamu hii ya mama Samia, wanasifia kuliko kawaida. Walianza kuweka mabango makubwa barabarani ya kumsifia Rais Samia.

Leo kwenye kilele Cha wiki ya UWT wameamua kushona suti na kuandika jina la Samia. Haya yanafanywa na Wakuu wa Mikoa na Wakuu wengine. Sina shaka na hizo sifa, ila nina swali tu Je, Mama Samia amekubaliana nazo?

View attachment 1983980

View attachment 1983982
Nyinyi wenyewe kwenye social media mnaponda kila kitu anachofanya Samia sababu tu Mbowe anashikiliwa kwa tuhuma za ugaidi.

Mimi naona sawa tu waache hao wanaomsifia wamsifie nao. Kila mtu ashinde mechi zake au Both Teams to score
 
Moja ya kitu ambacho kulikuwa cha kushangaza ni pale katika awamu iliyopita viongozi kutoa sifa kwa Rais ambazo zilipitiliza. Hii imekuwa tabia ya muda mrefu sana Rais kusifiwa kupitiliza na watendaji wake.

Bahati mbaya kabisa maraisi huridhia na kukubaliana na hizo sifa, lakini ukweli ni kuwa wanaosifia hawamaanishi. Watu wanasifia kwa lengo la kuwa karibu na Rais na kulinda nafasi zao.

Wameanza tena kwa speed kubwa awamu hii ya mama Samia, wanasifia kuliko kawaida. Walianza kuweka mabango makubwa barabarani ya kumsifia Rais Samia.

Leo kwenye kilele Cha wiki ya UWT wameamua kushona suti na kuandika jina la Samia. Haya yanafanywa na Wakuu wa Mikoa na Wakuu wengine. Sina shaka na hizo sifa, ila nina swali tu Je, Mama Samia amekubaliana nazo?

Moja ya kitu ambacho kulikuwa cha kushangaza ni pale katika awamu iliyopita viongozi kutoa sifa kwa Rais ambazo zilipitiliza. Hii imekuwa tabia ya muda mrefu sana Rais kusifiwa kupitiliza na watendaji wake.

Bahati mbaya kabisa maraisi huridhia na kukubaliana na hizo sifa, lakini ukweli ni kuwa wanaosifia hawamaanishi. Watu wanasifia kwa lengo la kuwa karibu na Rais na kulinda nafasi zao.

Wameanza tena kwa speed kubwa awamu hii ya mama Samia, wanasifia kuliko kawaida. Walianza kuweka mabango makubwa barabarani ya kumsifia Rais Samia.

Leo kwenye kilele Cha wiki ya UWT wameamua kushona suti na kuandika jina la Samia. Haya yanafanywa na Wakuu wa Mikoa na Wakuu wengine. Sina shaka na hizo sifa, ila nina swali tu Je, Mama Samia amekubaliana nazo?

View attachment 1983980

View attachment 1983982
Aiseee 🤔 wameanza tena
 
Viongozi wa Africa wanapenda sana kusifiwa angalia nyimbo za Diamond na Harmonise zinavyo pigwa kila hafla yake
Na mabongo fleva wanajua tabia hii na wanaitumia kisawa sawa
 
Back
Top Bottom