Raisi obama alihutubia bunge la congres

Raisi obama alihutubia bunge la congres

choka

Senior Member
Joined
Mar 7, 2011
Posts
104
Reaction score
6
obama ameonyesha okumavu wa hali ya juu wakati alipokuwa akilihutubia bunge la congres,amesema amefurahi kwa kuchaguliwa tena kwa mara ya pili,alijifunza mengi sana kipindi cha miaka minne ya mwanzo,ambayo ilikuwa si rahisi,kuna baadhi ya mambo ambayo hayakufanyika vizuri ambayo yailimpa changamoto nyingi sana.
Amesema anapoanza miaka hii mingine minne,anavipaumbele ambavyo katika hivyo vipaumbele kimoja wapo ni elimu,alikuwa verry brief.
 
obama ameonyesha okumavu wa hali ya juu wakati alipokuwa akilihutubia bunge la congres,amesema amefurahi kwa kuchaguliwa tena kwa mara ya pili,alijifunza mengi sana kipindi cha miaka minne ya mwanzo,ambayo ilikuwa si rahisi,kuna baadhi ya mambo ambayo hayakufanyika vizuri ambayo yailimpa changamoto nyingi sana.
Amesema anapoanza miaka hii mingine minne,anavipaumbele ambavyo katika hivyo vipaumbele kimoja wapo ni elimu,alikuwa verry brief.
maneno hayahaya ndo aliyoyasema kikwete baada ya kuanza awamu yake ya 2, mkaponda sana mkisema kwa nini amesema amejifunza mengi awamu ya kwanza kwani aliingia akiwa hajui. leo hii obama kasema hayohayo .......unaitwa ameonyesha ukovu. ama kweli. kunya anye kuku akinya bata kaharisha.
 
Back
Top Bottom