Siasa Basi
JF-Expert Member
- Jul 10, 2016
- 1,493
- 4,276
Jiwe mpole??? Kapiga watu risasi, kupoteza kina Ben na wengineo, katia watu jela ili aongopwe lakini wapi, ndio kwanza wanamuona hajielewi. Kachanganyikiwa ajuhi cha kufanyaKwa kuwa rais ni mpole na ni tofauti ya kagame,uhuru na museveni ndio maana wameamua kumfuata mpaka chumbani kwa kuwacha kujadili vitu vya maana wanajadili kauli zilizopita!
Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app