Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Siku zote waliokuwa wanaguswa ni wengine, sasa hapa kwenye Elimu na Shule binafsi amewagusa wenyewe wanufaika wakubwa wa Wizi na Ufisadi, tegemea moto mkubwa kuwaka, Wadosi wa Tanzania ni wabinafsi kuliko maelezo, hawataki ku-share chochote na wasionacho na wala kujishighulisha na Shule zetu za Kata, na kusema wazi wazi hizo ni Shule zenu lkn hapo hapo wanataka kunufaika na kusomeshwa na Serikali kwa gharama ya watoto wasio na uwezo waliosoma Shule za Kata ambazo hamtaki hata tu kushiriki kuziboresha kwa manufaa ya wote.
Nina uhakika Maandamano ya Mangi Kimambi yaliwahi sana, kama yangekuja leo hii bara bara zingefurika, kwa maana sasa kawagusa wenyewe kunako, ...
Nina uhakika Maandamano ya Mangi Kimambi yaliwahi sana, kama yangekuja leo hii bara bara zingefurika, kwa maana sasa kawagusa wenyewe kunako, ...