bernard10
JF-Expert Member
- Apr 2, 2021
- 410
- 731
Raisi wa Serbia Aleksandar Vucic Jana usiku aliongoza maelfu ya wa Serbia katika KUMBUKIZI ya mauaji ya ndg na jamaa zao yaliyofanywa na NATO mwaka 1998.
Akihutubia Taifa Raisi wa Serbia alisema,
Miaka 23 iliyopita NATO ilifanya mashambulizi ya kikatiri, yakutisha na yasiyosameheka kwenye nchi ndogo ambayo haijavamia nchi nyingine au watu.
Katika mashambulizi hayo ubarozi wa China Ni miongoni mwa wahanga wa mashambulizi hayo.
Akihutubia vyombo vya habari msemaji wa wizara ya mambo ya nnje China alisema,
Mwaka 1999 March 24 vikosi vya NATO vikiongozwa na Marekani kwa wazi vilipuuza baraza la ulinzi la UN kwakuanza siku 78 zakuilipua kwa mabomu Yugoslavia nchi huru kwamakusudi wakipuuzia makubariano ya taratibu za kimataifa,
Mashambulizi 12000 YENYE vilipuzi tani 10000 Huku makombora 3000 yalilipuliwa yakil hienga kila kitu vifaa vya afya sehemu za kitamaduni shule na makazi.
Maelfu ya raia wasio na hatia waliuawa ikiwemo waandishi wa habari wa china.
Katika kampeni Yao yakuripua mabomu NATO walifyatua mabomu ya Uranium yaliyokataliwa katika makubariano yakimataifa hivyo kusababisha madhara ya muda mrefu yakiafya na mazingira.
Watu wa Serbia China na duniani kote hawatosahau kamwe ukatili huo wa NATO.
Ni Jambo la kujiuliza kama NATO wamejitafakari katika sual la UKRAINE na mzizi mkuu wa janga hili.?
Kabla yakuakisi uharifu wao NATO Serbia, Iraq Afghanistan,
NATO na Marekani hawana haki wala mamlaka yakumuhukumu yeyote.
Ikiwa imezaliwa(NATO) kutokana na Vita baridi NATO haina kazi yeyote zaidi ya vita haijawahi na kamwe haitawahi kuchangia katika kuleta amani katika dunia yetu,
Watu wote wanaopenda amani lazima wataendelea kukataa upanuzi endelevu wa NATO (NATO expansion).View attachment 2164312View attachment 2164315View attachment 2164316
Akihutubia Taifa Raisi wa Serbia alisema,
Miaka 23 iliyopita NATO ilifanya mashambulizi ya kikatiri, yakutisha na yasiyosameheka kwenye nchi ndogo ambayo haijavamia nchi nyingine au watu.
Katika mashambulizi hayo ubarozi wa China Ni miongoni mwa wahanga wa mashambulizi hayo.
Akihutubia vyombo vya habari msemaji wa wizara ya mambo ya nnje China alisema,
Mwaka 1999 March 24 vikosi vya NATO vikiongozwa na Marekani kwa wazi vilipuuza baraza la ulinzi la UN kwakuanza siku 78 zakuilipua kwa mabomu Yugoslavia nchi huru kwamakusudi wakipuuzia makubariano ya taratibu za kimataifa,
Mashambulizi 12000 YENYE vilipuzi tani 10000 Huku makombora 3000 yalilipuliwa yakil hienga kila kitu vifaa vya afya sehemu za kitamaduni shule na makazi.
Maelfu ya raia wasio na hatia waliuawa ikiwemo waandishi wa habari wa china.
Katika kampeni Yao yakuripua mabomu NATO walifyatua mabomu ya Uranium yaliyokataliwa katika makubariano yakimataifa hivyo kusababisha madhara ya muda mrefu yakiafya na mazingira.
Watu wa Serbia China na duniani kote hawatosahau kamwe ukatili huo wa NATO.
Ni Jambo la kujiuliza kama NATO wamejitafakari katika sual la UKRAINE na mzizi mkuu wa janga hili.?
Kabla yakuakisi uharifu wao NATO Serbia, Iraq Afghanistan,
NATO na Marekani hawana haki wala mamlaka yakumuhukumu yeyote.
Ikiwa imezaliwa(NATO) kutokana na Vita baridi NATO haina kazi yeyote zaidi ya vita haijawahi na kamwe haitawahi kuchangia katika kuleta amani katika dunia yetu,
Watu wote wanaopenda amani lazima wataendelea kukataa upanuzi endelevu wa NATO (NATO expansion).View attachment 2164312View attachment 2164315View attachment 2164316