Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,065
- 22,758
Kodi Tsh. 120,000,000.00
Samani Tsh. 200,000,000.00
Gari Tsh. 300,000,000.00
Sitting allowance ?
Matibabu ?
Salary ?
Marupurupu mengine ?
Mafao ?
Shellukindo ambaye pia ni Kamishna wa Tume ya Huduma za Bunge alisema Spika ana stahili zake kama Spika, hivyo kulipiwa kodi ya pango kwa dola 8,000 kwa mwezi na samani zake za ndani kugharimu zaidi ya sh mil 200 si jambo la ajabu. Ni kiongozi mwenye hadhi hiyo. Rais anajua, ndiye anayeidhinisha stahili zote za Spika. Hivyo hakuna jambo la ajabu hapo.
Raisi ndiye huidhinisha ? Nani anayepanga ?
Samani Tsh. 200,000,000.00
Gari Tsh. 300,000,000.00
Sitting allowance ?
Matibabu ?
Salary ?
Marupurupu mengine ?
Mafao ?
Shellukindo ambaye pia ni Kamishna wa Tume ya Huduma za Bunge alisema Spika ana stahili zake kama Spika, hivyo kulipiwa kodi ya pango kwa dola 8,000 kwa mwezi na samani zake za ndani kugharimu zaidi ya sh mil 200 si jambo la ajabu. Ni kiongozi mwenye hadhi hiyo. Rais anajua, ndiye anayeidhinisha stahili zote za Spika. Hivyo hakuna jambo la ajabu hapo.
Raisi ndiye huidhinisha ? Nani anayepanga ?