nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,273
- 3,750
Mheshimiwa sikia kelele za kuomba msaada kutoka kwa nchi yako unayoiongoza maana ni kama kelele azitoazo mwanamke anapokuwa anabakwa.
Mheshimiwa nchi yako imekuwa kama pango la wanyang'anyi kila mtu anaiba anavyotaka bila kuwepo na ulinzi wowote.
Mheshimiwa umeshindwa kumsaidia mwanamke huyu Tanzania na kupanda kwa gharama ya maisha lakini kipato kinazidi kushuka.
Mheshimiwa umeshindwa kumletea maisha bora huyu Tanzania na hivyo kuacha akibakwa kila siku na wageni
Mheshimiwa mafisadi wanaongezeka kila uchao na wewe umenyamaza.
Mheshimiwa sio kila kitu unatabasamu mda mwingine unakunja sura unatoa maamuzi
Mheshimiwa msaidie huyu mwanamke asiendelee kubakwa maana maumivu ya kubakwa hayasauliki
Mheshimiwa nchi yako imekuwa kama pango la wanyang'anyi kila mtu anaiba anavyotaka bila kuwepo na ulinzi wowote.
Mheshimiwa umeshindwa kumsaidia mwanamke huyu Tanzania na kupanda kwa gharama ya maisha lakini kipato kinazidi kushuka.
Mheshimiwa umeshindwa kumletea maisha bora huyu Tanzania na hivyo kuacha akibakwa kila siku na wageni
Mheshimiwa mafisadi wanaongezeka kila uchao na wewe umenyamaza.
Mheshimiwa sio kila kitu unatabasamu mda mwingine unakunja sura unatoa maamuzi
Mheshimiwa msaidie huyu mwanamke asiendelee kubakwa maana maumivu ya kubakwa hayasauliki