lukindo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2010
- 8,466
- 9,028
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
‎"He was the liberator,the nation builder,the Pan Africanist. He was the internationalist and he was the humanist."Quoting H.E. Jakaya Kikwete @,The Conference on the Legacy of Mwalimu Nyerere,Carleton University,Ottawa,14th March 2011.
Nimekutana na hii post kwenye facebook kutoka kwa mtu (raia wa UK) aliyekuwa karibu sana na rafiki wa Mwalimu. Nadhani alihudhuria huo mkutano na akawa amefurahishwa na jinsi raisi wetu anavyoendelea kumuheshimu BABA WA TAIFA ndio akaona aipost ili na wengine wasome.
Kumbe wakienda nje wanaonge tofauti na hapa nyumbani!?
Mnasemaje juu hii wana JF?
‎"He was the liberator,the nation builder,the Pan Africanist. He was the internationalist and he was the humanist."Quoting H.E. Jakaya Kikwete @,The Conference on the Legacy of Mwalimu Nyerere,Carleton University,Ottawa,14th March 2011.
Nimekutana na hii post kwenye facebook kutoka kwa mtu (raia wa UK) aliyekuwa karibu sana na rafiki wa Mwalimu. Nadhani alihudhuria huo mkutano na akawa amefurahishwa na jinsi raisi wetu anavyoendelea kumuheshimu BABA WA TAIFA ndio akaona aipost ili na wengine wasome.
Kumbe wakienda nje wanaonge tofauti na hapa nyumbani!?
Mnasemaje juu hii wana JF?