Tunataka sasa tuwasikie wahadhiri kwenye tasnia zingine,kila siku tunawasikia kwenye siasa,imefika wakati tuwasikie wahadhiri wenye fani ya kilimo,biashara,uvuvi,civil engineering,electrical engineering as hawa wa siasa hawana jipya,kama kusikia jk keshasikia ya siasa sasa tugeukia wa taaluma zengine!