Rais Zelensky alia na mashambulizi ya Putin.

Rais Zelensky alia na mashambulizi ya Putin.

BANDOKITITA

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2022
Posts
1,616
Reaction score
2,983
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amewaita viongozi wa kisiasa na kijeshi wa Urusi kuwa ni majambazi na kufutilia mbali uwezekano wa mpango wa amani utakaovigeuza vita vya Ukraine kuwa mgogoro uliositishwa. Kauli ya Zelensky inakuja wakati kilio na huzuni vikitanda kufuatia shambulizi la Urusi kwenye mgahawa katika mji wa Kramatorsk mashariki mwa Ukraine lililowaua watu kiasi 10.

Chanzo: DW,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom